Rais Samia kasafiri na kundi kubwa la watu, kodi za Watanzania zinatumiwa vibaya

Siku ukawavizia airport ukawauliza hebu twambie ulienda kufanya nini au umeleta nini kwa watanzania ukimwacha mhe. Rais waliosalia wataangalia chini na zaidi wametunisha mifuko yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…