Issa SLuu JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 2,303 Reaction score 1,803 Aug 25, 2021 #381 Phillipo Bukililo said: Hayati hakusafiri watu wakasema tatizo ni kingereza huyu wa sasa anasafiri watu wanadai gharama ni nyingi wakati chanzo ni tozo!. Mtanzania akiambiwa hajielewi anarusha ngumi. Click to expand... aisee,watu hawajielewi kabisa
Phillipo Bukililo said: Hayati hakusafiri watu wakasema tatizo ni kingereza huyu wa sasa anasafiri watu wanadai gharama ni nyingi wakati chanzo ni tozo!. Mtanzania akiambiwa hajielewi anarusha ngumi. Click to expand... aisee,watu hawajielewi kabisa
sengobad JF-Expert Member Joined Aug 13, 2017 Posts 9,008 Reaction score 8,788 Aug 25, 2021 #382 Siku ukawavizia airport ukawauliza hebu twambie ulienda kufanya nini au umeleta nini kwa watanzania ukimwacha mhe. Rais waliosalia wataangalia chini na zaidi wametunisha mifuko yao
Siku ukawavizia airport ukawauliza hebu twambie ulienda kufanya nini au umeleta nini kwa watanzania ukimwacha mhe. Rais waliosalia wataangalia chini na zaidi wametunisha mifuko yao
binti kiziwi JF-Expert Member Joined Aug 4, 2014 Posts 11,201 Reaction score 28,642 Aug 25, 2021 #383 Nsimbinso said: Hivi yupo wapi? Click to expand... Sijamsikia...