Rais Samia kataa kutumika kupitia sherehe ya mwaka mmoja wa utawala wako. Kuna pesa zinachangishwa

Rais Samia kataa kutumika kupitia sherehe ya mwaka mmoja wa utawala wako. Kuna pesa zinachangishwa

Rufiji dam

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2020
Posts
4,107
Reaction score
9,671
Mama Samia kama unajua ama haujui kuna jambo baya linafanyika kupitia utawala wako. Nimetembea ofisi za binafsi hasa mabenki kutokana na nature ya shughuli zangu za binafsi nimekutana na jambo la hofu sana.

Kuna barua zinazambazwa kuomba mchango wa kufanikisha sherehe za mwaka mmoja toka uchukue uongozi, je hizi barua unazijua na huu mpango wa kuomba fedha je unabaraka zako?

Tuache kucheza na maisha ya watu. Mama unachangiwa fedha za sherehe yako ya mwaka mmoja kuongoza nchi? Kuna ulazima gani wa kufanyiwa sherehe? Kuna jipya lipi uongozi wako umelifanya mpaka likawa la ajabu ndani ya mwaka mmoja hivyo tunapaswa kusherekea.

Mama sitisha mpango huu kama pesa umebariki ipatikane ni vyema ikatumika kununulia vitanda vya watoto njiti ama ukawapa bima ya afya watoto masikini. Ila ukibariki hili umebariki wizi. Chawa hana huruma.
 
Mama Samia kama unajua ama haujui kuna jambo baya linafanyika kupitia utawala wako. Nimetembea ofisi za binafsi hasa mabenki kutokana na nature ya shughuli zangu za binafsi nimekutana na jambo la hofu sana.

Kuna barua zinazambazwa kuomba mchango wa kufanikisha sherehe za mwaka mmoja toka uchukue uongozi, je hizi barua unazijua na huu mpango wa kuomba fedha je unabaraka zako?

Tuache kucheza na maisha ya watu. Mama unachangiwa fedha za sherehe yako ya mwaka mmoja kuongoza nchi? Kuna ulazima gani wa kufanyiwa sherehe? Kuna jipya lipi uongozi wako umelifanya mpaka likawa la ajabu ndani ya mwaka mmoja hivyo tunapaswa kusherekea.

Mama sitisha mpango huu kama pesa umebariki ipatikane ni vyema ikatumika kununulia vitanda vya watoto njiti ama ukawapa bima ya afya watoto masikini. Ila ukibariki hili umebariki wizi. Chawa hana huruma.
Acha ukuda utakufa maskini
 
Kwa alivyo hawez sitisha..Lin ukweli Ni kwamba akiadhimisha bas upande mwingine atakuwa anafurahia mwenzake kufa...aifanye siku ya kumkumbuka marehemu.

Hotuba zake zirudiwe hapa na pale.
 
Back
Top Bottom