Rais Samia kataa kutumika kupitia sherehe ya mwaka mmoja wa utawala wako. Kuna pesa zinachangishwa

Kuna pesa zinachangishwa na unapewa fomu yenye nafasi 20.

Kiwango cha kuanzia ni Tsh 200’000
 

 
Kama jambo la kweli na sio propaganda na unataka Rais alifanyie kazi basi taja jina la benki na taasisi/ofisi iliyoleta barua
 
Kama jambo la kweli na sio propaganda na unataka Rais alifanyie kazi basi taja jina la benki na taasisi/ofisi iliyoleta barua
Taja kwanza wewe jina lako halisi
 

Kwa akili ya kawaida sana huo hauwezi kuwa mpango wenye Baraka za Rais. Kama Rais anahitaji kufanya sherehe za Mwaka mmoja hawezi kukosa hela ikibidi hata mfukoni mwake wau kwa Watu wake.

Kama upo huo utaratibu wa FOMU ni Watu wanafanya mambo yao ya upigaji wa kitoto ambapo kwa Level hiyo wa kuzuia sio Rais.

Wa kuzuia wa kwanza hapo ni Watu WANAONA HAIFAI wasichange

Utakuwa haramu iwapo tu kuna nguvu inatumika Ila Kama mtu anatamani kutoa hela yake kwa hiari kuna ubaya gani?
 
Inategemea barua ikitoka wizarani kwenda taasisi binafsi watakaa? Maana wanajua mlivyo na fitna, hamchelewi kuwaletea Kodi za kufa kabisa.
Hivyo watachanga hata Kama hawapendi

Wizara kweli igawe fomu Watu kuchanga laki Mbili mbili?

Doesn’t make any sense. Hakuna wizara itakosa hela eti ya kufanya sherehe ya Mwaka mmoja adi ichangishe

Cmooon, let’s reason with very common sense
 
Umeelewa ama unaandika tu. Barua inatoka serikalini.

Serikali Ofisi gani? Serikali ikose hela ya kufanya sherehe kama inataka kufanya?

Reason kwa akili ya kawaida tu, HILO HALIWEZEKANI.

Kama Serikali inataka kufanya sherehe itatumia fedha zake, haiwezi kuomba watu wachangie Laki 2
 
Serikali Ofisi gani? Serikali ikose hela ya kufanya sherehe kama inataka kufanya?

Reason kwa akili ya kawaida tu, HILO HALIWEZEKANI.

Kama Serikali inataka kufanya sherehe itatumia fedha zake, haiwezi kuomba watu wachangie Laki 2
Una umri gani? Je umeajiriwa ama. Usichokijua nyamaza kimya kuna vitu vinaendeka serikalini hasa kwa hawa watu wanaojipendekeza ukija kujua utalia.

Tafuta yule mfanyabiashara wa Hai na sakata la Sabaya ndio utajua.

Hivi unajua wakati wa kampeni za urahisi hiyo hiyo serikali inachukua pesa nyingi sana za kampeni toka haya mashirika na watu binafsi.

Unyamaze haujui mambo wewe.
 
Wizara kweli igawe fomu Watu kuchanga laki Mbili mbili?

Doesn’t make any sense. Hakuna wizara itakosa hela eti ya kufanya sherehe ya Mwaka mmoja adi ichangishe

Cmooon, let’s reason with very common sense
Unaonekana ni mgeni sana wa mambo wewe.

Ukija kuvunja ungo utayakuta haya.

Cheza kwanya na midoli.
 
Takataka
 
Nadhani Admin wanapaswa kuondoa thread kama hizi za kutunga, zinazolenga kuchonganisha Serikali na Wananchi wake
Hauna akili wewe fuatilia mambo utakuja kujua ukweli.

Eti kuchonganisha hovyo sana wewe Dada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…