Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Niombe sana Mhe. Rais upitie upya mfumo wa serikali unaopelekea majalada yafike mezani kwako kwa utiaji sahihi. Yawezekana mfumo huu ulivurugwa au umevurugwa bila kuzingatia utaratibu uliowekwa kwenye Utumishi wa Umma.
Upo uwezekana wapo watu wachache wasio waadilifu wameingizwa jikoni lakini pia upo uwezekano Kuna hujuma inaendele.
Nayaona makosa ya wazi kabisa katika teuzi ulizofanya, kosa la wazi lakiufundi lilifanywa kumpata Mkurugenzi wa petrolium and gas. Kosa hili umelirekebisha.
Jana zimesambaa taarifa za ofisi yako kumteua raia wa Marekani, natamani taarifa hizi ziwe za uongo. Ikiwa ni za kweli basi nachagua kuiombea ofisi yako ifunuliwe na kuanza kusaka vijana waadilifu kwenye taasisi mbalimbali wenye upeo mpana waje wakae ofisini kwako. Yamkini wazee hawajitumi kujielimisha na Awana muda na global issues.
Ikulu ni ya Watanzania watafute Watanzania wabobezi wape maeneo haya nyeti ili waweze kukung'ata sikio kabla PDF haijatoka.
Nikutakie kazi njema
Upo uwezekana wapo watu wachache wasio waadilifu wameingizwa jikoni lakini pia upo uwezekano Kuna hujuma inaendele.
Nayaona makosa ya wazi kabisa katika teuzi ulizofanya, kosa la wazi lakiufundi lilifanywa kumpata Mkurugenzi wa petrolium and gas. Kosa hili umelirekebisha.
Jana zimesambaa taarifa za ofisi yako kumteua raia wa Marekani, natamani taarifa hizi ziwe za uongo. Ikiwa ni za kweli basi nachagua kuiombea ofisi yako ifunuliwe na kuanza kusaka vijana waadilifu kwenye taasisi mbalimbali wenye upeo mpana waje wakae ofisini kwako. Yamkini wazee hawajitumi kujielimisha na Awana muda na global issues.
Ikulu ni ya Watanzania watafute Watanzania wabobezi wape maeneo haya nyeti ili waweze kukung'ata sikio kabla PDF haijatoka.
Nikutakie kazi njema