Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, leo Juni 13, 2022

Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, leo Juni 13, 2022

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania

Rais Samia amewahakikishia wa Oman mazingira mazuri ya biashara kuwa na sera thabiti za fedha.

Akizungumza katika Kongamano lililojumuisha Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, Rais Samia Suluhu Hassan amesema tangu achukue madaraka, Sera ya Serikali yake imekuwa ni kuacha Serikali iongoze na Sekta Binafsi ifanye Biashara

Amesisitiza kuwa, "Namaanisha nikisema hakuna Biashara zaidi kwa Serikali, sisi tunatengeneza mazingira rafiki kwa ajili ya Sekta Binafsi ndani na nje ya Nchi kukua na kufanya Biashara"


 
13 June 2022

DIASPORA YAFURAHIA ZIARA YA RAIS

1655109666517.png


Diaspora ya kiTanzania wafurahia ziara hii na kutegemea fursa nyingi kufunguka za kibiashara na kiuchumi baina ya mataifa ya Oman na Tanzania

Both Omanis and the Tanzanian diaspora are looking to improve centuries-old ties between the two countries following the visit of President Samia Suluhu Hassan to Oman.

The President is currently in Oman on a three-day visit but for Omanis and Tanzanians her visit will open a new chapter in strengthening personal bonds between them in different fields
 
Back
Top Bottom