Rais Samia: Kodi ndio Damu ya Serikali

Ni suala la kurekebisha sheria zetu.maana hilo lipo kisheria. Lakini kumbuka pia sheria zote zinatungwa na Bunge.
Kwahiyo wabunge wanajitungia sheria wao wasilipe na sisi tulipe ilhali wao wanatumia sehemu kubwa ya keki ya Taifa ipatikanayo kwa kodi hizo?

Unakwepa tu blaza kukubali, kubali tatizo lipo na halishawishi kulipa kodi!
 
Mimi silipwi kwa ajili ya kuandika hapa jukwaani
Hivi ni kwa nini hili suala nimekuwa nikilisikia hivyo hivyo miaka yote mimi nilitegemea kuwa mwaka huu nitasikia kuwa walipa kodi wamefikia milioni 7 au nitatizo limeshindikana!?
Nilitegemea baada ya kuwa na makamu wa rais mchumi waziri wa fedha mchumi dalaja la kwanza basi mambo yatabadilika lakini mambo ni yaleyale.
Kuna nini!?
 
Kuna direct tax na indirect tax. Direct tax inahitaji mambo mengi sana kuongeza walipakodi wa kundi hilo.ikiwepo sera,sheria na Mambo mengine mengi
 
Kuna direct tax na indirect tax. Direct tax inahitaji mambo mengi sana kuongeza walipakodi wa kundi hilo.ikiwepo sera,sheria na Mambo mengine mengi
Ndio sasa si tunaiweka serikali madalakani ili ishughulikie hayo mambo sasa wanashindwa nini wimbo ni huo tangia utawala wa mkapa mpaka sasa malalamiko ni yaleyale
 


Kila mtu anataka kulipa Kodi

Ukakasi unakuja pale Tu unapolipa Kodi ya Jasho lako then anaenda kupewa mtu Kwa ajili ya kuandika Tu kwenye mitandao Sifa za Rais
 
Kwani huyo samia zile saa zake za milioni 600 vipi zimehalibia au anataka hela kununua zingine ...nani alipe kodi hili viongozi wahuni mzidi kujinenepesha kwa kodi zetu.
 
Wewe ni mpotoshaji na Mzushi sana.

Hiyo ndio sababu watu hawataki kulipa Kodi

Hata Rais akasema Leo, pesa zinaishia kwenye Mifuko ya watu

Kauli hii angesema mbowe ungekuja fasta kutetea na kusema si kweli mama ameweka mifumo mzuri

Haya sasa kasema mwenyewe eeh unasemaje ? Huna la kusema

Kodi ya kupigwa na jua kariakoo then kuna mtu analipwa akiwa amekaa na laptop yake kazi yake ni kusema Tu mama mitano tena

It's very painful
 
Kwani huyo samia zile saa zake za milioni 600 vipi zimehalibia au anataka hela kununua zingine ...nani alipe kodi hili viongozi wahuni mzidi kujinenepesha kwa kodi zetu.
Ulilipia wewe hiyo saa ya millioni mia 6? Au unajiongelea tu kama mtoto mdogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…