Rais Samia kuanza safari ya kikazi nchini DR Congo

Mkuu mimi nafikiri ziara zake kwa majirani zetu ni muhimu,kuimalisha usalama ,uchumi,elimu na tekinologia, utamaduni na michezo,afya n.k
Mkuu wangu Kongole kwa kuliona hilo👊

#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#SiempreJMT
 
Huijui Kabul wewe.
Endelea kuwa sukule kwa kupiga makofi na kushangilia.
🤣🤣Mkuu nimemjibu Komredi Bujibuji kuwa "Kabul si kwa kitoto"....

Enhe mzoefu wangu Residentura nipe somo la uwepo wako Kabul....najua mlitimuliwa na mkarudi Moscow wanguwangu...🤣
 
Umemaliza yote.
Kongole kwako mkuu@Behaviourist .
 
Mungu akubariki mkuu Hamatan
 
Washajua hakuna chochote anachojua.
Washamsoma kuwa huyu hamna kitu, aisee Ila safari hii tumepatikana. CCM watavuna kwa kadri ya watavyoweza.
Hebu fikiria mwenyekiti wa CCM mkoa nae anahudhuria sherehe ya uapisho wa raisi
Mwenyekiti wa CCM yupi huyo ndugu Memento ?
 
Labda nikukumbushe kuwa "Salumu" Kikeke ni mbongo na mbongo kutumika ni rahisi sana
Ni mtoto mdogo kwenye tasnia ya habari..
Wakina Shaka Sali na yule wa hard talk aliyemuhoji Lisu hawezi kukubali mialiko yao,ataogopa tu.
Yeye na jpm ni sawa tu tofauti ni jinsia.
 
Umepotoka sana.
 
Wewe sukule,yaani unakubali kumpa hela baba yako ambayo una uhakika wa asilimia 200 kuwa ataenda kuhonga mwanamke au kunywea pombe kisa ni baba yako nawe ni mtoto!!???
 
Kukubali chanjo ya J & J kumetupa kiasi gani cha hela!!??
Huko ni kupiga magoti ama ni kupiga "makofi"!!??
Mkopo wa 2.7 tirioni,tumepewa kutokana na mahusiano mema ya " regional intergration" ama nini!!??
Tulikataa mkopo wa masharti nafuu na "riba free" ya "Covax", leo tumekubali mkopo wenye riba wa "2.7 tirioni" , hiyo ni akili ama matope!!???
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…