Rais Samia kuanza safari ya kikazi nchini DR Congo

Rais Samia kuanza safari ya kikazi nchini DR Congo

Sawa Mkuu,

Naomba Mkuu na mimi nidedicate hicho kifurushi cha hoja za maswali kwenye komenti yako #17 ya uzi huu...

Vinginevyo Mkuu utakuwa mtu unayesimamia usichoamini kama kina Gwajigirl.
Wewe hoja yako ni ipi ili tuanzie hapahapa?
 
Umeanza kujikanyaga sasa, kumbe ni muumini wa mikopo inayokuza deni la taifa kila kukicha eenh? Ndiyo maana tunapishana. Kwahiyo kipaumbele chenye tija ni ushawishi wa kupata mikopo zaidi na kukuza deni la taifa eenh? Hapo ndiyo nilishasema tangu mwanzo mimi naona ule utaratibu wa kwenda kuwalamba miguu wazungu na kopo la kuomba misaada na mikopo mkononi zilishapitwa na wakati. Kwanini tusikuze regional integration tupate pesa kuliko kukimbilia mikopo?
Usiwe kama kasuku,suala la mikopo nimetoa kama mfano mmoja wa harakaharaka tena nimesema kuwa mikopo hiyo ni nafuu na mara nyingi husamehewa kabisa.Unaelewa kuwa zaidi ya asilimia sitini ya budget yetu inakuwa financed na wazungu?Hawa siyo watu muhimu sasa?
 
Kwa uelewa wangu hakuna taifa linaloongoza kuwa kipaumbele chenye tija kwa Tanzania. Zipo nchi nyingi tunazoshirikiana nazo kila moja ikiwa na mchango wake wenye tija kwa maendeleo ya Tanzania zikiwepo Kenya, Burundi,Zambia,DRC,Uganda, Rwanda etc.

Kwa comments zako it seems wewe una list unayozi-rank nchi duniani na tija zake kwa Tanzz=ania. Hebu tuwekee hapa na evidences zake
Unaelewa kuwa zaidi ya asilimia sitini ya budget yetu inakuwa financed na wazungu?Kwa hili hawa siyo watu muhimu ambao ni lazima wawe kipaumbele chetu?
 
Na wewe kama umepukutika akili ni shauri yako na waliokuzaa..ni ajabu kuhoji na kuuliza maswali ya kipumbavu kama hayo.

Nakupa mfano mdogo Sana wa Burundi,kuna kampuni kubwa ya Burundi inajenga kiwanda cha mbolea Dodoma na ni baada ya mazungumzo na Mama mwanzoni kabisa baada ya kumfukia Magu.

Huo ni mfano mdogo tuu ila kwa kuwa wewe ni CDM umeshikiliwa akili na Mbowe endelea kuwa mjinga na kulia Lia mitandaoni.
Unaelewa kuwa zaidi ya asilimia sitini ya budget yetu inakuwa financed na wazungu?Unaelewa kuwa asilimia sitini ya budget yetu ni kiasi gani?Unawezaje kupuuza watu wanaofinance asilimia sitini ya budget ya nchi yeko?!
 
Wakuu Kazi Iendeleee.

Taarifa zilizopo ni kwamba Rais Samia ana ziara ya kikazi nchini Congo.

Ataanza ziara hiyo wakati atakapotoka Zambia kwenye inauguration ya Hakainde Hichilema.

Akifika Congo atapokekewa na Mwenyeji Wake Rais Felix Tshisekedi.

Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi
Hela ya Tozo inafanya kazi
 
Wewe hoja yako ni ipi ili tuanzie hapahapa?
Simpo tu Mkuu!

Pointi yangu ya kwanza, nilihoji why Mkuu unahoji credibility ya taarifa bila kutoa credible information kujustify ukandiaji wako.

Ukanijibu kindly, lengo la maswali yako ni kuhoji whether information ni official au porojo.

Maana yake ulitaka uliyemuhoji aambatanishe vielelezo kusapoti alichokisema..

Ila nikiangalia komenti yako #17, ni maneno matupu tu yasiyo na vielelezo vyovyote..

Maana yake Mkuu, unachosimamia, au unachodhani ni sahihi sicho unachoamini..

Ndio kukutaka ikiwezekana, ukaedit comment yako kwa kuattach vielelezo.

Simply there is high inconsistency kati ya unachosimamia na unachoamini.
 
Simpo tu Mkuu!

Pointi yangu ya kwanza, nilihoji why Mkuu unahoji credibility ya taarifa taarifa bila kutoa credible information kujustify ukandiaji wako.

Ukanijibu kindly, lengo la maswali yako ni kuhoji whether information ni official au porojo.

Maana yake ulitaka uliyemuhoji aambatanishe vielelezo kusapoti alichokisema..

Ila nikiangalia komenti yako #17, ni maneno matupu tu yasiyo na vielelezo vyovyote..

Maana yake Mkuu, unachosimamia, au unachodhani ni sahihi sicho unachoamini..

Ndio kukutaka ikiwezekana, ukaedit comment yako kwa kuattach vielelezo.

Simply there is high inconsistency kati ya unachosimamia na unachoamini.
Kuna kitu hujaelewa kwa sababu hujafuatilua huu uzi kuanzia mwanzo.

Msingi wa mazungumzo yote haya ni swali ambalo nimeuliza mwanzoni kabisa mwa huu uzi kuwa Rais anapotoa kipaumbele katika kuanza kuitembelea Congo,Rwanda na Burundi hizi ndiyo nchi duniani ambazo ni kipaumbele chenye tija kwetu?Hili ni swali ambalo niliuliza watu kama wewe ili mnipe majibu ila mpaka sasa hivi hakuna mtu alienipa jibu ambalo halina utata.

Kuna watu wakajitokeza kujibu ndipo nikawaambia kuwa nitajuaje kama majibu yao ni ya kweli kama hayatakuwa na viambatanisho vya ushahidi?Kwa hiyo shida yangu ni kwa watu waliojaribu kujibu hilo swali langu nataka niwe na uhakika kama taarifa wanazonipa ni za kweli.Wasipoambatanisha shahidi nitakuwa na uhakika gani kama taarifa wanazonipa ni za kweli?

Kuniambia mimi niweke data pamoja na statistics maana yake unataka nijijibu mwenyewe swali ambalo nimeuliza watu ili wanisaidie kutoa matongotongo yanayonisumbua kitu ambacho ni cha ajabu.
 
Kuna kitu hujaelewa kwa sababu hujafuatilua huu uzi kuanzia mwanzo.

Msingi wa mazungumzo yote haya ni swali ambalo nimeuliza mwanzoni kabisa mwa huu uzi kuwa Rais anapotoa kipaumbele katika kuanza kuitembelea Congo,Rwanda na Burundi hizi ndiyo nchi duniani ambazo ni kipaumbele chenye tija kwetu?Hili ni swali ambalo niliuliza watu kama wewe ili mnipe majibu ila mpaka sasa hivi hakuna mtu alienipa jibu ambalo halina utata.

Kuna watu wakajitokeza kujibu ndipo nikawaambia kuwa nitajuaje kama majibu yao ni ya kweli kama hayatakuwa na viambatanisho vya ushahidi?Kwa hiyo shida yangu ni kwa watu waliojaribu kujibu hilo swali langu nataka niwe na uhakika kama taarifa wanazonipa ni za kweli.Wasipoambatanisha shahidi nitakuwa na uhakika gani kama taarifa wanazonipa ni za kweli?

Kuniambia mimi niweke data pamoja na statistics maana yake unataka nijijibu mwenyewe swali ambalo nimeuliza watu ili wanisaidie kutoa matongotongo yanayonisumbua kitu ambacho ni cha ajabu.

Kubali tu Mkuu, kwenye komenti yako kabla ya kuuliza ulianza kwa kutoa taarifa bila vielelezo ukaweka na kituo.. Baadaye ndio ukauliza.

Find attachement, ili kudumisha utamaduni wa vielelezo.

"Halafu anahangaika sana na nchi ambazo hazina tija kwa Taifa. Ataanza ziara za kuwatembelea wahisani wetu lini?"
 
Kumbe Samia aliondoka na ndege mbili Gulf Stream G550 ambayo ninapoandika sasa hivi Ipo usawa wa Lake Nyasa inaelekea Dar, na Airbus 200-300 ambayo sasa hivi ipo maeneo ya Selous inaelekea Dar
 
"Hafu anahangaika sana na nchi ambazo hazina tija kwa Taifa. Ataanza ziara za kuwatembelea wahisani wetu lini?"
Sasa hapa niweke vielelezo vya nini?Kwani wahisani wetu si wanajulikana?Wewe hujawahi kukuta barabara zinatengenezwa huko mijini na mabango yameandikwa kwa hisani kubwa ya watu wa Marekani au kwa hisani kubwa ya watu wa Japani?
 
Sasa hapa niweke vielelezo vya nini?Kwani wahisani wetu si wanajulikana?Wewe hujawahi kukuta barabara zinatengenezwa huko mijini na mabango yameandikwa kwa hisani kubwa ya watu wa Marekani au kwa hisani kubwa ya watu wa Japani?
Vielelezo vinavyoonyesha hizo nchi anazozurura huyo mhangaikaji to what extent hazina tija kwa Taifa.
 
Vielelezo vinavyoonyesha hizo nchi anazozurura huyo mhangaikaji to what extent hazina tija kwa Taifa.
Sasa Burundi ina tija kuliko wahisani wetu kama vile Marekani na Japani ambao wanafinance budget yetu zaidi ya nusu?Unahitaji vielelezo vya nini kujua kitu ambacho ni clear and obvious namna hii?Umekuwa kasuku?!

Ni sawa na mtu atake vielelezo vinavyothibitisha kitu ambacho kipo wazi kabisa kama vile kuwa Marekani ni Taifa kubwa kuliko Tanzania,mtu kama huyo si Kasuku ambae anapaswa kupotezewa?

Lakini mtu anapogeuza kuwa Burundi ina tija kuliko Marekani na Japan ndipo tutahitaji ushahidi wa vielelezo kwa sababu anachoongea mtu huyo ni uwongo na hana uhakika nacho.
 
Burundi ina mchango mdogo wa uchumi kwetu?

Kenya na Rwanda zina mchango mdogo kwa uchumi wetu?

Hivi yale magari 3000 yaliyopokelewa bandarini YANAPEKEKWA "huko Ulaya usemako"?

Ulaya waje kuwekeza kitu gani?!

Kwa hiyo "REGIONAL ECONOMY" kwako ni kupoteza muda? 😲😲

#NchiKwanza
#KaziIendelee
#SiempreJMT
Mkuu mimi nafikiri ziara zake kwa majirani zetu ni muhimu,kuimalisha usalama ,uchumi,elimu na tekinologia, utamaduni na michezo,afya n.k
 
Sasa Burundi ina tija kuliko wahisani wetu kama vile Marekani na Japani ambao wanafinance budget yetu zaidi ya nusu?Unahitaji vielelezo vya nini kujua kitu ambacho ni clear and obvious namna hii?Umekuwa kasuku?!

Ni sawa na mtu atake vielelezo vinavyothibitisha kitu ambacho kipo wazi kabisa kama vile kuwa Marekani ni Taifa kubwa kuliko Tanzania,mtu kama huyo si Kasuku ambae anapaswa kupotezewa?

Lakini mtu anapogeuza kuwa Burundi ina tija kuliko Marekani na Japan ndipo tutahitaji ushahidi wa vielelezo kwa sababu anachoongea mtu huyo ni uwongo na hana uhakika nacho.
Braza unafkiri Marekani unaenda kama unaenda Kariakoo ? Rais kutoka Africa aombe state visit kwenda Marekani unapewa slot ya miaka 4 ijayo kama sio 6 kaka, labda kama unataka kwenda kumuona mkuu wa chuo sawa au naibu meya hapo sawa , lakini kwenda kuonana na Biden unaambiwa ratiba iko full mpaka Dec 2025 kaka !
 
Usiwe kama kasuku,suala la mikopo nimetoa kama mfano mmoja wa harakaharaka tena nimesema kuwa mikopo hiyo ni nafuu na mara nyingi husamehewa kabisa.Unaelewa kuwa zaidi ya asilimia sitini ya budget yetu inakuwa financed na wazungu?Hawa siyo watu muhimu sasa?
Naomba source hapo kwenye red
 
kuna mambo mengine unaweza anza kuombea mabaya yatokee huko angani endapo hakuna ufafanuzi sahihi wa hizo safari. Ila tunamtakia kila laheri sana...aendelee kutuongezea hayo makodi kila mahali ili aendelee kuzunguka na madege hayo
 
Unaelewa kuwa zaidi ya asilimia sitini ya budget yetu inakuwa financed na wazungu?Unaelewa kuwa asilimia sitini ya budget yetu ni kiasi gani?Unawezaje kupuuza watu wanaofinance asilimia sitini ya budget ya nchi yeko?!
Huo ujinga ulikokariri kautapike ndio urudi kujadili.Budget ya nani inafadhiliwa na wazungu kwa hizo %.

Unazeeka vibaya Sana na hii ndio shida ya machadema kukurupuka na kutokujisomea.Jipange upya afu urudi jukwaani.
 
Back
Top Bottom