Rais Samia kuanza Ziara ya Siku 3 Nchini Ghana. Hii ni ziara ya 12 tangu aingie madarakani

Rais Samia kuanza Ziara ya Siku 3 Nchini Ghana. Hii ni ziara ya 12 tangu aingie madarakani

Labda kama ameenda na nany au sister ila wife mmhhh, au askofu? 😂😂😂
Hembu kwanza mtaje hapa,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ndugu yangu hukuona picha yake na mkewe wakipokelewa Uswisi?
 
Huyu mama kwa Safari atapewa Tuzo ya Oscar na Nobel

Machinga wanafukuzwa, watumishi wanakwiba Mali za umma,

Yeye Ni Safari tu Kila wiki ,

Hii nchi tulilaaniwa, Rais alikuwa JPM tu
Huyo huyo JPM mlimuita mshamba anayeogopa kuongea kingereza ikiwa ni sababu ya yeye kutosafiri.

Malalamiko yakiwa mengi tunatengeneza mazingira ya kumkufuru Mungu.
 
Na tozo bado ziko palepale.
Mie hapo tu ndio pananiumiza roho.
Atuondolee tozo. Maisha yamepanda bei.

Maanakw kama nchi inapitia wakati mgumu basi angepunguza matymuzi kwa kusimisha safari za nje. Atumie zaidi mabalozi. Hadi pale uchumi utakapokuwa sawa
 
Wakuu Mwanzo Nilileta Uzi Wa kwanba Hangaya anasafiri Kwenda India, Ni Ghana na Sio India.

Rais Samia ameondoka Nchini Kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya Ziara ya kikazi ya siku tatu Nchini Humo.

======

Rais Samia anatarajiwa kuondoka leo kuelekea Accra Ghana kwa ziara ya kikazi ya siku 3 nchini humo.

Rais anatarajiwa kushiriki mdahalo wa Wakuu wa Nchi utakaojadili fursa zilizomo na changamoto zinazozikabili nchi za Afrika ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi, kupanda kwa bei ya vyakula na matumizi ya nishati endelevu.

Aidha anatarajia kupokea tuzo ya mwaka 2022 ya Babacar Ndiaye kwa mafanikio ya ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji ambayo hutolewa kila mwaka kwa Mkuu wa Nchi iliyofanya vizuri zaidi.

Hii ni ziara ya 6 kwa mwaka 2022, na ni ziara ya 12 tangu Rais Samia aingie madarakani.

Kujua safari nyingine za Rais soma Ziara za Rais Samia Suluhu Hassan tangu alipokuwa Rais wa Awamu ya 6 wa Tanzania
Ikumbukwe pia kuwa GHANA Ina KATIBA Bora sana. Atapata uzoefu pia. Amen
 
Kuna shughuli gani ya kiuchumi, kibiashara au kiteknolojia kati ya Tanzania na Ghana?
Ungesoma maelezo ya barua yake..

Moja ya shughuli ni hii hapa 👇

Screenshot_20220523-124553.png
 
Huyu mama kwa Safari atapewa Tuzo ya Oscar na Nobel

Machinga wanafukuzwa, watumishi wanakwiba Mali za umma,

Yeye Ni Safari tu Kila wiki ,

Hii nchi tulilaaniwa, Rais alikuwa JPM tu
Kawaruhusu waibe sasa akae afanye nini tena?
 
Hivi huwa hawaoni aibu kuzipokea hizo tuzo?yaani nikiangalia mikoa mingi hamna barabara,maji yaani kila kitu.Dar es salaam ambao ndo jiji la kibiashara miundombinu yake mibovu na hakuna maji baadhi ya sehemu toka tupate uhuru(jimbo la kibamba) huku unasikia mtu anapokea tuzo kweli! Tuache vichekesho kwenye mambo ya masilahi makubwa ya nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mama kwa Safari atapewa Tuzo ya Oscar na Nobel

Machinga wanafukuzwa, watumishi wanakwiba Mali za umma,

Yeye Ni Safari tu Kila wiki ,

Hii nchi tulilaaniwa, Rais alikuwa JPM tu
Liacheni lizurure!
 
Wakuu Mwanzo Nilileta Uzi Wa kwanba Hangaya anasafiri Kwenda India, Ni Ghana na Sio India.

Rais Samia ameondoka Nchini Kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya Ziara ya kikazi ya siku tatu Nchini Humo.

======

Rais Samia anatarajiwa kuondoka leo kuelekea Accra Ghana kwa ziara ya kikazi ya siku 3 nchini humo.

Rais anatarajiwa kushiriki mdahalo wa Wakuu wa Nchi utakaojadili fursa zilizomo na changamoto zinazozikabili nchi za Afrika ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi, kupanda kwa bei ya vyakula na matumizi ya nishati endelevu.

Aidha anatarajia kupokea tuzo ya mwaka 2022 ya Babacar Ndiaye kwa mafanikio ya ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji ambayo hutolewa kila mwaka kwa Mkuu wa Nchi iliyofanya vizuri zaidi.

Hii ni ziara ya 6 kwa mwaka 2022, na ni ziara ya 12 tangu Rais Samia aingie madarakani.

Kujua safari nyingine za Rais soma Ziara za Rais Samia Suluhu Hassan tangu alipokuwa Rais wa Awamu ya 6 wa Tanzania
Hiyo tuzo inastahili apewe Marehemu na mke wake aende aipokee. Bi Mkora hajafanya chochote kwenye miundombinu!
 
Back
Top Bottom