Labda kama ameenda na nany au sister ila wife mmhhh, au askofu? 😂😂😂
Hembu kwanza mtaje hapa,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ndugu yangu hukuona picha yake na mkewe wakipokelewa Uswisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama ameenda na nany au sister ila wife mmhhh, au askofu? 😂😂😂
Hembu kwanza mtaje hapa,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo huyo JPM mlimuita mshamba anayeogopa kuongea kingereza ikiwa ni sababu ya yeye kutosafiri.Huyu mama kwa Safari atapewa Tuzo ya Oscar na Nobel
Machinga wanafukuzwa, watumishi wanakwiba Mali za umma,
Yeye Ni Safari tu Kila wiki ,
Hii nchi tulilaaniwa, Rais alikuwa JPM tu
Ikumbukwe pia kuwa GHANA Ina KATIBA Bora sana. Atapata uzoefu pia. AmenWakuu Mwanzo Nilileta Uzi Wa kwanba Hangaya anasafiri Kwenda India, Ni Ghana na Sio India.
Rais Samia ameondoka Nchini Kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya Ziara ya kikazi ya siku tatu Nchini Humo.
======
Rais Samia anatarajiwa kuondoka leo kuelekea Accra Ghana kwa ziara ya kikazi ya siku 3 nchini humo.
Rais anatarajiwa kushiriki mdahalo wa Wakuu wa Nchi utakaojadili fursa zilizomo na changamoto zinazozikabili nchi za Afrika ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi, kupanda kwa bei ya vyakula na matumizi ya nishati endelevu.
Aidha anatarajia kupokea tuzo ya mwaka 2022 ya Babacar Ndiaye kwa mafanikio ya ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji ambayo hutolewa kila mwaka kwa Mkuu wa Nchi iliyofanya vizuri zaidi.
Hii ni ziara ya 6 kwa mwaka 2022, na ni ziara ya 12 tangu Rais Samia aingie madarakani.
Kujua safari nyingine za Rais soma Ziara za Rais Samia Suluhu Hassan tangu alipokuwa Rais wa Awamu ya 6 wa Tanzania
Wakajining'inize..Kuna aliyeenda uswisi lakini kimyaaaaaa,
Au kwa kuwa huyu ni mwanamke? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Chuki kwa kwenda mbele
Asante kwa taarifaMoja ya nchi nzuri sana Afrika niliyowahi kuitembelea, Watanzania tunaingia tu na Passport zetu hakuna Visa
Ungesoma maelezo ya barua yake..Kuna shughuli gani ya kiuchumi, kibiashara au kiteknolojia kati ya Tanzania na Ghana?
Kama ulivyoning’izwa Ritz Carlton. New York! Ulifaidi kodi zetu ee!Wakajining'inize..
Kawaruhusu waibe sasa akae afanye nini tena?Huyu mama kwa Safari atapewa Tuzo ya Oscar na Nobel
Machinga wanafukuzwa, watumishi wanakwiba Mali za umma,
Yeye Ni Safari tu Kila wiki ,
Hii nchi tulilaaniwa, Rais alikuwa JPM tu
Liacheni lizurure!Huyu mama kwa Safari atapewa Tuzo ya Oscar na Nobel
Machinga wanafukuzwa, watumishi wanakwiba Mali za umma,
Yeye Ni Safari tu Kila wiki ,
Hii nchi tulilaaniwa, Rais alikuwa JPM tu
Hiyo tuzo inastahili apewe Marehemu na mke wake aende aipokee. Bi Mkora hajafanya chochote kwenye miundombinu!Wakuu Mwanzo Nilileta Uzi Wa kwanba Hangaya anasafiri Kwenda India, Ni Ghana na Sio India.
Rais Samia ameondoka Nchini Kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya Ziara ya kikazi ya siku tatu Nchini Humo.
======
Rais Samia anatarajiwa kuondoka leo kuelekea Accra Ghana kwa ziara ya kikazi ya siku 3 nchini humo.
Rais anatarajiwa kushiriki mdahalo wa Wakuu wa Nchi utakaojadili fursa zilizomo na changamoto zinazozikabili nchi za Afrika ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi, kupanda kwa bei ya vyakula na matumizi ya nishati endelevu.
Aidha anatarajia kupokea tuzo ya mwaka 2022 ya Babacar Ndiaye kwa mafanikio ya ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji ambayo hutolewa kila mwaka kwa Mkuu wa Nchi iliyofanya vizuri zaidi.
Hii ni ziara ya 6 kwa mwaka 2022, na ni ziara ya 12 tangu Rais Samia aingie madarakani.
Kujua safari nyingine za Rais soma Ziara za Rais Samia Suluhu Hassan tangu alipokuwa Rais wa Awamu ya 6 wa Tanzania
Anaenda kwenye mdahaloKuna shughuli gani ya kiuchumi, kibiashara au kiteknolojia kati ya Tanzania na Ghana?
Asalimie na family ya Jer lolings ni rais niliekuwa namkubali SanaAmsalimie sana Dr Mensa OtabilView attachment 2235253
ExactlyNasikia wapo vizuri sn hata upande wa democrasia
Alafu wewe...lolKeshajikatia tamaa ya kuongoza nchi, kaamua kuwa mzururaji hadi muda wake utakapoisha.
SikuonaNdugu yangu hukuona picha yake na mkewe wakipokelewa Uswisi?