Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Good, UWT mnatakiwa kutangulia Ruvuma ajili ya kumpokea kipenzi cha watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni PS lakini ana kiburi snAnayejidhalilisha ni yule anayeropoka na kuwatukana watu kilejaleja.
Wewe chawa umeota mkia sasa.
wanafanya makusudi ili mtu ajiongeze atoe rushwaSerikalini au kitengo process ni ndefu sio wananchi wote wenye uwezo wa kupeleka huko , wamejaa madali kibao wanapeleka mizigo ya wakulima wakubwa na wanaonunua mtaani 350 wanapeleka kuuza serikalini 700. Pia usumbufu wa kuchambua mahindi kule NFR unawakimbiza wakulima wadogo maana ni lazima uwe na vibarua wa kuchambua , uwalishe ,makuli wa kubeba nk
Marais wenzanke wanakutana New York yeye anaenda kuuwa soo Ruvuma, wakati anaropoka hakujuwa kuna safari ya Marekani?Good, UWT mnatakiwa kutangulia Ruvuma ajili ya kumpokea kipenzi cha watanzania
ALijazwa upuuzi na chawa wake naye akaingia mzima mzima bila kutafakariMarais wenzanke wanakutana New York yeye anaenda kuuwa soo Ruvuma, wakati anaropoka hakujuwa kuna safari ya Marekani?
Acha ujinga dogoNi PS lakini ana kiburi sn
Umeanza ujiga wako, sijakusemeshaAcha ujinga dogo
Na atazindua utitiri wa miradi ambayo Wananchi wanafurahia Huduma.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ,Anatarajiwa Kufanya Ziara Nzito ya Kikazi Mkoani Ruvuma Wiki Ijayo ambayo inatarajiwa kutamatika Tarehe 29.
Ambapo Akiwa Mkoani Ruvuma anatarajiwa kukagua utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM,kukagua miradi mbalimbali ikiwepo ujenzi wa magodown takribani 28 yaliyojengwa kati ya 50 yanayotarajiwa kujengwa.
Lakini pia Rais wetu Mpendwa anatarajiwa kukagua miradi ya kilimo,kituo cha madini na mambo mengine makubwa mbalimbali ambayo yatafanywa na Mheshimiwa Rais.Ambapo pia Mama yetu na Rais wetu anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika Tamasha La Utamaduni linalofanyika Mkoani humo katika uwanja wa Majimaji.
Rais wetu Mpendwa anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania, anaendelea kuwa karibu na watanzania na kuangalia kwa ukaribu namna wanavyopata huduma na namna mabilioni kwa mabilioni ya pesa anayotoa yanavyoleta mabadiliko na nuru pamoja na tabasamu kwa maisha ya watu.
Anakwenda kuangalia utekelezaji wa maagizo yake na kushuhudia namna Kasi ya maendeleo inavyoendelea chini ya uongozi wake, ambao umeendelea kukonga mioyo ya watu wengi sana kutokana na kukidhi matarajio na kukata kiu ya wengi. Anakwenda kusikiliza kero za watanzania kupitia wawakilishi wao kama vile wabunge pamoja na kuzipatia ufumbuzi au majibu stahiki
View attachment 3100972
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Huwa hivi VICHEKESHO mnavitoa wapi??🤣🤣😅😅Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe kuliongoza Taifa letu.Ndio maana anaendelea kuchanja Mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.
Hili jamaa mndali ni bonge la MBWIGAUmeanza ujiga wako, sijakusemesha
Mama kazi iendeleeNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ,Anatarajiwa Kufanya Ziara Nzito ya Kikazi Mkoani Ruvuma Wiki Ijayo ambayo inatarajiwa kutamatika Tarehe 29.
Ambapo Akiwa Mkoani Ruvuma anatarajiwa kukagua utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM,kukagua miradi mbalimbali ikiwepo ujenzi wa magodown takribani 28 yaliyojengwa kati ya 50 yanayotarajiwa kujengwa.
Lakini pia Rais wetu Mpendwa anatarajiwa kukagua miradi ya kilimo,kituo cha madini na mambo mengine makubwa mbalimbali ambayo yatafanywa na Mheshimiwa Rais.Ambapo pia Mama yetu na Rais wetu anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika Tamasha La Utamaduni linalofanyika Mkoani humo katika uwanja wa Majimaji.
Rais wetu Mpendwa anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania, anaendelea kuwa karibu na watanzania na kuangalia kwa ukaribu namna wanavyopata huduma na namna mabilioni kwa mabilioni ya pesa anayotoa yanavyoleta mabadiliko na nuru pamoja na tabasamu kwa maisha ya watu.
Anakwenda kuangalia utekelezaji wa maagizo yake na kushuhudia namna Kasi ya maendeleo inavyoendelea chini ya uongozi wake, ambao umeendelea kukonga mioyo ya watu wengi sana kutokana na kukidhi matarajio na kukata kiu ya wengi. Anakwenda kusikiliza kero za watanzania kupitia wawakilishi wao kama vile wabunge pamoja na kuzipatia ufumbuzi au majibu stahiki
View attachment 3100972
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kwa hakika kazi iendeleeMama kazi iendelee
Umesamehewa dhambi zako zote bure kabisaShahawa nyingine heri zingemwagwa nje tu
Acha washikiliwe tu ili wahojiwe na haki itendeke kwa wote.Mara: Abiria 16, Dereva na Kondakta wakamatwa kwa tuhuma za kumpiga Askari wa Usalama Barabarani
Jeshi la Polisi mkoani Mara linawashikilia watu 18, wakiwemo dereva, kondakta na abiria 16, kwa tuhuma za kumpiga askari wa usalama barabarani aliyekuwa akikagua gari walilokuwa wamepanda. Tukio hilo lilitokea Septemba 18, 2024, saa 12 jioni katika mkoa wa Mara. Akizungumza kuhusu tukio hilo...www.jamiiforums.com
Amewakimbia wa marekani hana lolote......kama kweli amiri geshi angeenda US akaseme aliyoròpoka juziNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ,Anatarajiwa Kufanya Ziara Nzito ya Kikazi Mkoani Ruvuma Wiki Ijayo ambayo inatarajiwa kutamatika Tarehe 29.
Ambapo Akiwa Mkoani Ruvuma anatarajiwa kukagua utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM,kukagua miradi mbalimbali ikiwepo ujenzi wa magodown takribani 28 yaliyojengwa kati ya 50 yanayotarajiwa kujengwa.
Lakini pia Rais wetu Mpendwa anatarajiwa kukagua miradi ya kilimo,kituo cha madini na mambo mengine makubwa mbalimbali ambayo yatafanywa na Mheshimiwa Rais.Ambapo pia Mama yetu na Rais wetu anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika Tamasha La Utamaduni linalofanyika Mkoani humo katika uwanja wa Majimaji.
Rais wetu Mpendwa anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania, anaendelea kuwa karibu na watanzania na kuangalia kwa ukaribu namna wanavyopata huduma na namna mabilioni kwa mabilioni ya pesa anayotoa yanavyoleta mabadiliko na nuru pamoja na tabasamu kwa maisha ya watu.
Anakwenda kuangalia utekelezaji wa maagizo yake na kushuhudia namna Kasi ya maendeleo inavyoendelea chini ya uongozi wake, ambao umeendelea kukonga mioyo ya watu wengi sana kutokana na kukidhi matarajio na kukata kiu ya wengi. Anakwenda kusikiliza kero za watanzania kupitia wawakilishi wao kama vile wabunge pamoja na kuzipatia ufumbuzi au majibu stahiki
View attachment 3100972
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.