Rais Samia kufanya ziara nzito ya kikazi mkoani Ruvuma wiki ijayo

wanafanya makusudi ili mtu ajiongeze atoe rushwa
 
Na atazindua utitiri wa miradi ambayo Wananchi wanafurahia Huduma.
 
Mama kazi iendelee
 
Acha washikiliwe tu ili wahojiwe na haki itendeke kwa wote.
 
Sijuhi atakuwa na maumivu ya kukosa Safari za kula bata kwa mabeberu au anachukulia poa??
 
Amewakimbia wa marekani hana lolote......kama kweli amiri geshi angeenda US akaseme aliyoròpoka juzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…