Rais Samia kufanya ziara ya kikazi ya Siku Tano Nchini Uturuki kuanzia Tarehe 17-21 Mwezi huu

Utafikiri amegundua nuclear! Kumbe matembezi tu!
 
Kaa kwa kutulia mambo mazuri yataendelea kumiminika hapa nchini kupitia mkono wa Rais Samia
 
Ameenda kukopa fedha za ujenzi wa SGR maana yap markez wameacha kufanya kazi hivo baada ya serikali kuomba mfumo wa ukopeshwaji Kwa riba ndogo ndio matokeo hayo ya ziara
 
Rais ana raha gani kufanya ziara wakati raia wa Rufiji wanaogelea kwenye mafuriko kama mamba yaliyosababishwa na serikali?
 
Waende huko ili wapate per diem zao, lakini siyo kuiletea nchi maendeleo
 
Sijui tunaenda kuuza SGR yetu.
 
Tunazihitaji ziara nyingi kama hizi...

#Kila la heri kwa Rais wetu aaamin[emoji7]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…