Rais Samia kufanya ziara ya siku 2 mkoani Mara

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Kazi Iendelee

Samia anatajia kufanya ziara ya siku 2 Kuanzia Trh.4-5/02/2022.

Samia atahudhuria pia maadhimisho ya Kuzaliwa Kwa CCC ambayo yanahadhimishwa Kila mwaka trh.05/02.

Kilele Cha Maadhimisho Hayo kinafanyika Kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Mkendo, Wilaya ya Musoma, Mkoa wa Mara.
 
Uwe na adabu na heshima kwa Rais wetu unatakiwa kuandika/kusema Rais Samia kuanza ziara ya Siku mbili mkoani Mara
 
Kila mara kanda ya ziwa , si aende Mbeya huko , tunduma , mpak tandahimba huko
 
Simkubali kabisa Raisi Samia, ila sio sawa kuandika " Samia kuanza ziara ya siku mbili Mara"., Hata mama yako asiye na cheo huwezi kumuita Elizabeth au Mwasiti lazima utaanza na neno MAMA. Nahisi umelelewa kijiweni na mzazi mmoja na pengine umeathirika na bangi ingawa una uwezo wa kupost thread..
 
Asipeleke tu mambo yake ya u-chifu, uzanzibari kwenye mkoa wa Baba wa Taifa
 
Uwe na adabu na heshima kwa Rais wetu unatakiwa kuandika/kusema Rais Samia kuanza ziara ya Siku mbili mkoani Mara
Kwani Samia sio jina lake?

Samia Samia Samia Samia Samia Samia Samia Samia ........
Kufeni sasa
 
Kwa kuwa mada ni mkoa wa Mara na muhusika ni rais basi hatuna budi kutupia kile tunachosikia, kuambiwa au kushuhudia kutoka mkoani Mara kama hiki hapa...

 
Tuombe Mungu yale mambo ya uChifu yasiwepo.
 
Punguza Upuuzi Nimuite Mama Huyo Ni Mamangu Mzazi? Ukiita wewe Rais au Mama Inatosha, tusipangiane Jinsi ya Kuita Watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lengo ni kupiga pesa za umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…