Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Katika maazimisho ya siku ya wanawake duniani, Rais Samia amesema hakuna anayekataa Katiba Mpya. Hata hivyo amesema Mbowe anataka akisema leo, kesho suala litendeke.
Rais ameyasema hayo kwenye mkutano wa BAWACHA wakiazimisha siku ya wanawake duniani.
Aidha kuhusu suala la wabunge 19 wa viti maalumu amesema suala hilo liachiwe mahakama.
Rais ameyasema hayo kwenye mkutano wa BAWACHA wakiazimisha siku ya wanawake duniani.
Aidha kuhusu suala la wabunge 19 wa viti maalumu amesema suala hilo liachiwe mahakama.