Rais Samia kuitetemesha nchi leo, nenda hata kwa jirani Mwenye TV

CHIEF PRIEST nenda hata kwa jirani ukaangalie Tv
Huyu mshikaji mbona kama amedata hivi, kwani siku zote Rais akiwaapisha wateule wake si anafanya hivyo hivyo, namuonea huruma hebu mpe neno la hekima anazidi kujichoresha. Hao wazee wake walipoteza hela kusomesha mtu kama huyu, hebu cheki mikeka inatoka daily lakini anapishana na teuzi na sababu ni haya magazeti yake yaliyojaa uchawa.
 
Wewe unasema haya kama nani?🤔
 
Huu ni msukule
 
Ngoja tusubiri kububujikwa na machozi ya furaha
 
Vua chupi akuweke chapu jinga wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Rais wetu mpendwa anatarajiwa kutoa hotuba nzito kwelikweli kama ilivyo kawaida yake
Wewe naye ushaishiwa maneno ya kumsifia huyu bibi. Darasa la 7 atapata wapi uwezo wa kutoa hotuba nzito?

Tatizo una nyota ya punda, unasifia kila siku lkn huteuliwi. Akina Lukuvi walilala zao kimya huko Ismani wameteuliwa.
 
Kwa tukio la awadh afande hapo
Katetemesha tayari

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…