Rais Samia, kujaribu kuwashawishi Team Magufuli wakuelewe utapoteza muda. Achana nao na uanze kuunganisha Watanzania, hasa wapinzani

Rais Samia, kujaribu kuwashawishi Team Magufuli wakuelewe utapoteza muda. Achana nao na uanze kuunganisha Watanzania, hasa wapinzani

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Haya Mambo pia alifanyiwa Raisi wa Russia Dmitry Medvedev. Aliwekwa madarakani Kama kivuli na waziri mkuu wake puten na baada ya muhula moja akatolewa. kwa haraka haraka utazani Mwendazake Kama aliwaita watu wake akawausia wasikubali lolote analofanya mama.

Pale anapokosolewa au kushambulia timu Magu hawako tayari kumtetea. Naona kabisa kung'aang'ana nao haijasaidia lolote. Polepole Yuko bize kujiongezea umaarufu ata kwa kuunanga utawala wa mama.

Timu Magu ata afanye nini hawatomkubali. Kwasababu kihulka hawafanani. Badala ya kufanya kila kitu ili awafanye walizike Bora awatoe wote kwenye utawala wake.

Abakie na wana CCM wenye roho kukubali maridhiano na wapinzani.

Hatari anachopitia ni kua anaongeza maadui tu kuliko ata Magufuli mnenyewe. Sasa wapinzani watamchukia Sana na CCM watamchukia pia.

Pole pole na bashiru ni Wabunge wateule wa Raisi. Ampe ubaloz polepole ili akondoke bungeni kisha aamtoe kabisa.

Wapinzani Wana watu wengi sana. Ushaidi uchaguzi uliopita na wewe mwenyewe uliona. Kuurudisha umaarufu wako ni kuwa nao karibu tu. Najua sehemu uliyopo huwezi kuwaona Sababu umezungukwa na hao walioachwa na mtangulizi wako na wanajitahidi kukuziba macho. Waruhusu wafanye mikutano ili angalau waelezee tofauti yake na wewe. Uweke historia mpya yako katika taifa.

Sasa unapingwa Sana mtaani. Timu Magu wanakupinga sana ingawa umewakumbatia. Na mbaya huwezi jua kwani Hadi wanaokupa taarifa ni wao. Na wapinzani ndio hawakuelewi kabisa. Sasa uko na CCM waliotengwa na utawala uliopita na kifupi ni wachache na hawatakupeleka popote.
 
Sukuma gang hiyo unayoichukia ndiyo huwaokoa wagombea wa CCM maana inawapiga kura wengi kuliko Kanda yoyote na wamesambaa kila Kona ya nchi.

Hao upinzani unataka aungane nao nguvu yao ni mikoa ipi hasa?

Au unamuhadaa mtemi Hangaya aliyesimamishwa na Sukuma gang aje aangukie pua.
 
uchambuzi wako uchwara. Ni hivi Mama anakubalika sana na wana CCM wote. Shida iko pale tu anapofanya maamuzi yenye viashiria vya ufisadi na kuacha mipango ya kumkomboa mtanzania mnyonge.

Mama uwezo wa kushawishi makundi yote anao ila sijui wanaomzunguka wanamuambia kitu gani. Mfano, yeye ajikite kuangalia namna bora ya kuthibiti rushwa, kuongeza vipato kwa wananchi etc.
 
Linafiki wewe pimbi na uchambuzi wako uchwara. Ni hivi Mama anakubalika sana na wana CCM wote. Shida iko pale tu anapofanya maamuzi yenye viashiria vya ufisadi na kuacha mipango ya kumkomboa mtanzania mnyonge. Mama uwezo wa kushawishi makundi yote anao ila sijui wanaomzunguka wanamuambia kitu gani. Mfano, yeye ajikite kuangalia namna bora ya kuthibiti rushwa, kuongeza vipato kwa wananchi etc.

Unanitusi kwa nilivyomkosoa alafu unakuja kumkosoa kuwa anafanya maamuzi yanayoashiria ufisadi kivipi? Kuwa mnyoofu tu na utoe hoja sio kutusi tu.
Timu Magufuli mlitaka awe mkali tu. Lkn utawala wa Aina ya Magufuli NI mgumu Sana kuuendesha. Lazima ufunge, utese, upoteze watu ili waliobaki wakutii. Na wanaokupinga uwachukie kikamilifu. Mi napendelea kuwa na Uhuru wa Democrasia na kuungana na wanaokupinga na sio kuwalazimisha wakusifu
 
Unanitusi kwa nilivyomkosoa alafu unakuja kumkosoa kuwa anafanya maamuzi yanayoashiria ufisadi kivipi? Kuwa mnyoofu tu na utoe hoja sio kutusi tu.
Timu Magufuli mlitaka awe mkali tu. Lkn utawala wa Aina ya Magufuli NI mgumu Sana kuuendesha. Lazima ufunge, utese, upoteze watu ili waliobaki wakutii. Na wanaokupinga uwachukie kikamilifu. Mi napendelea kuwa na Uhuru wa Democrasia na kuungana na wanaokupinga na sio kuwalazimisha wakusifu
Samahani mara 100, huwawezi kufanana. Ukali siyo hoja. Mama uongozi anaweza na tunampenda sana.
 
Nani kakwambia Samia hapendwi au hakubaliki?

Tunamkubali Samia na tunampenda sana. Mark my words Samia ni Rais wako 2025-2030
 
Mama wa kambo ni sehemu ya majizi ya kura.
uchambuzi wako uchwara. Ni hivi Mama anakubalika sana na wana CCM wote. Shida iko pale tu anapofanya maamuzi yenye viashiria vya ufisadi na kuacha mipango ya kumkomboa mtanzania mnyonge. Mama uwezo wa kushawishi makundi yote anao ila sijui wanaomzunguka wanamuambia kitu gani. Mfano, yeye ajikite kuangalia namna bora ya kuthibiti rushwa, kuongeza vipato kwa wananchi etc.
 
Back
Top Bottom