Rais Samia, kukuza uchumi ni agenda endelevu, usipotoshwe ukadondoka puuuh!

Rais Samia, kukuza uchumi ni agenda endelevu, usipotoshwe ukadondoka puuuh!

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Nina uhakika asilimia 100 kuwa Mhe. Samia Hassan Suluhu akiamua kukomaa na kuleta Katiba Mpya basi 2025 ni lazima atashinda - tena atashinda kwa kishindo sana.

Atakuwa akiongea tu kuwa yeye ni Rais wa maamuzi - ameamua kutekeleza jambo ambalo limekuwa gumu kutekelezwa kwa miaka mingi - yeye ameweza. Atawafanya wapinzani wasiwe na hoja na hata wao watampigia kura.

CCM watachangamka na kuongoza vizuri Zaidi - hakutakuwa na ubabe ubabe na demokrasi itatamalaki - tutakuwa kama wenzetu wa Kenya mabao kwa sasa siasa sio chuki tena.

Rais Samia utajisikiaje ukiwa kama mpenda demokrasia ukaingia madarakani kama alivyoingia Mwendazake katika muhula wake wa pili - Unaweza kuuita ule ni uchaguzi - Au nawe umejificha tu ndani ya ngozi ya kondoo lakini kumbe u mbwa mwitu?

Inawezakana lakini manake hata wakati wa kampeni kuna maneno ya ukakasi uliwahi kuyasema!

Tuliamini uliyasema hayo kipindi tu cha kumuunga mkono Mwendazake lakini wewe haupo hivyo! Hata hivyo kadri siku ziendavyo unaanza kuwa na mwelekeo wa kidikteta dikteta hivi!

Ninakukumbusha hivi hakuna Rais tangu Tanzania ianze hajawahi kuwa na agenda ya kupaisha uchumi wetu - Ni Rais gani huyo?

Kukuza uchumi ni agenda endelevu lakini kuleta Katiba nzuri ni jambo la mara moja tu na linakuletea mailage kubwa katika key performance indicators - "KPI" zako kama Rais.

Hilo la kukuza uchumi linaweza likawa sio. JPM alioenekana kama anakuza uchumi lakini kila analysis ikifanyika inaonekana uchumi ulidondoka katika kipindi chake.

Sababu kubwa inaonekana ni kuzuka kwa Covid 19. Sasa ukikomalia issues za kukuza uchumi ukaacha watu waendelee kuminywa utashangaa linazuka balaa lingine linasomesha namba za kukuza uchumi zinashuka Zaidi.

Katiba Mpya haiwezi kuzuiwa na majanga - ni jambo jepesi Zaidi kwako kulitekeleza na likakushindisha Mwaka 2025.

Sijui lakini wanaokushauri wameona hatari gani- Nchi hii ni yetu wote - acha kukumbatia miCCM ambayo imebaki na mila na desturi zile zile za uwoga uwoga na kujali maslahi binafsi.

Mwisho cheza vizuri siasa zako - waTanzania wamechoka sasa ahadi za kukua kwa uchumi - ni agenda endelevu na sio mziki mpya tena masikioni mwetu.

Hebu BADILIKA Rais Wangu Mpendwa! Usije ondoka unachukiwa kama Mwendazake!
 
Wahafidhina ndani ya CCM wanamshauri vibaya, na naelekea wameanza kumzidi nguvu.

Wanataka aendeleze dhulma za Magufuli kwa sababu aliwapa vyeo bila wao kuvitolea jasho kwenye chaguzi. Wanahisi kama nchi ikiwa na fair ground kupitia katiba nzuri basi hata wao wanaweza kupigwa chini kwenye chaguzi fair, na hilo hawalitaki!

Aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi.
 
Wahafidhina ndani ya CCM wanamshauri vibaya, na naelekea wameanza kumzidi nguvu.

Wanataka aendeleze dhulma za Magufuli kwa sababu aliwapa vyeo bila wao kuvitolea jasho kwenye chaguzi. Wanahisi kama nchi ikiwa na fair ground kupitia katiba nzuri basi hata wao wanaweza kupigwa chini kwenye chaguzi fair, na hilo hawalitaki!

Aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi.
Ila hata machoni na maneno yake Samia anaonekana kabisa ni mtu wa demokrasia. Akiipinga hiyo nafsi kwa kupotoshwa hakika hataonoza kipindi cha pili.
 
Ila hata machoni na maneno yake Samia anaonekana kabisa ni mtu wa demokrasia! Akiipinga hiyo nafsi kwa kupotoshwa hakika hataonoza kipindi cha pili!
Kipindi cha pili anaweza kukiona lakini kwa kuiba kura, na hata akifanikiwa akaingia tena, iwapo atapuuza madai haya ya wananchi ataishia kuwa raisi wa vitu vidogovidogo visivyoacha legacy yoyte ya maana
 
Kipindi cha pili anaweza kukiona lakini kwa kuiba kura, na hata akifanikiwa akaingia tena, iwapo atapuuza madai haya ya wananchi ataishia kuwa raisi wa vitu vidogovidogo visivyoacha legacy yoyte ya maana
Umenena kweli!
 
Madaraka yana kawaida ya kulevya, waliogundua hilo mapema walitengeza katiba zenye checks and balances imara kuhami demekrosia za nchi zao.
Madaraka yana kawaida ya kulevya, waliogundua hilo mapema walitengeza katiba zenye checks and balances imara kuhami demekrosia za nchi zao.
Na walifanikiwa bila mashaka yeyote!
 
Nina uhakika asilimia 100 kuwa Mhe. Samia Hassan Suluhu akiamua kukomaa na kuleta Katiba Mpya basi 2025 ni lazima atashinda - tena atashinda kwa kishindo sana.

Atakuwa akiongea tu kuwa yeye ni Rais wa maamuzi - ameamua kutekeleza jambo ambalo limekuwa gumu kutekelezwa kwa miaka mingi - yeye ameweza. Atawafanya wapinzani wasiwe na hoja na hata wao watampiilgia kura.

CCM watachangamka na kuongoza vizuri Zaidi - hakutakuwa na ubabe ubabe na demokrasi itatamalaki - tutakuwa kama wenzetu wa Kenya mabao kwa sasa siasa sio chuki tena.

Rais Samia utajisikiaje ukiwa kama mpenda demokrasia ukaingia madarakani kama alivyoingia Mwendazake katika muhula wake wa pili - Unaweza kuuita ule ni uchaguzi - Au nawe umejificha tu ndani ya ngozi ya kondoo lakini kumbe u mbwa mwitu?

Inawezakana lakini manake hata wakati wa kampeni kuna maneno ya ukakasi uliwahi kuyasema!

Tuliamini uliyasema hayo kipindi tu cha kumuunga mkono Mwendazake lakini wewe haupo hivyo! Hata hivyo kadri siku ziendavyo unaanza kuwa na mwelekeo wa kidikteta dikteta hivi!

Ninakukumbusha hivi hakuna Rais tangu Tanzania ianze hajawahi kuwa na agenda ya kupaisha uchumi wetu - Ni Rais gani huyo?

Kukuza uchumi ni agenda endelevu lakini kuleta Katiba nzuri ni jambo la mara moja tu na linakuletea mailage kubwa katika key performance indicators - "KPI" zako kama Rais.

Hilo la kukuza uchumi linaweza likawa sio. JPM alioenekana kama anakuza uchumi lakini kila analysis ikifanyika inaonekana uchumi ulidondoka katika kipindi chake.

Sababu kubwa inaonekana ni kuzuka kwa Covid 19. Sasa ukikomalia issues za kukuza uchumi ukaacha watu waendelee kuminywa utashangaa linazuka balaa lingine linasomesha namba za kukuza uchumi zinashuka Zaidi.

Katiba Mpya haiwezi kuzuiwa na majanga - ni jambo jepesi Zaidi kwako kulitekeleza na likakushindisha Mwaka 2025.

Sijui lakini wanaokushauri wameona hatari gani- Nchi hii ni yetu wote - acha kukumbatia miCCM ambayo imebaki na mila na desturi zile zile za uwoga uwoga na kujali maslahi binafsi.

Mwisho cheza vizuri siasa zako - waTanzania wamechoka sasa ahadi za kukua kwa uchumi - ni agenda endelevu na sio mziki mpya tena masikioni mwetu.

Hebu BADILIKA Rais Wangu Mpendwa! Usije ondoka unachukiwa kama Mwendazake!
endeleeni kumdanganya mama wa watu, aje auze nchi kwa wapinzani kimasihara. Ila kwa katiba mpya lazma akubaliane na hilo hamna namna.
 
endeleeni kumdanganya mama wa watu, aje auze nchi kwa wapinzani kimasihara.
Hofu zako! Wewe ni CCM usiyebadilika! Na kama wakichukua upinzani na wakatawala bila kunyanyasa watu na wakafuata Katiba kwani kutakuwa na tatizo gani?
 
Muda Utaongea, Maana Kikombe Tulichokinywea Kwa Miaka Mitano, Hakuna Namna Katiba Mpya Ndio Jibu. Nchi Iligeuzwa kama Familia ya Mtu ..Daaah! Hakuna aliyekooa Simba alipounguruma. Na Nyerere alituonya kuhusu Katiba Hii, Ya kwamba akitokea Rais Anayeifuata kwa dhati basi Watanzania Watakinywea na Tulikinywea...
 
Muda Utaongea, Maana Kikombe Tulichokinywea Kwa Miaka Mitano, Hakuna Namna Katiba Mpya Ndio Jibu. Nchi Iligeuzwa kama Familia ya Mtu ..Daaah! Hakuna aliyekooa Simba alipounguruma. Na Nyerere alituonya kuhusu Katiba Hii, Ya kwamba akitokea Rais Anayeifuata kwa dhati basi Watanzania Watakinywea na Tulikinywea...
Kweli kabisa. Sijui wafuasi wake wanajisikiaje! Au ndiyo maana wengine wanadanja kwa hofu tu!
 
Muda Utaongea, Maana Kikombe Tulichokinywea Kwa Miaka Mitano, Hakuna Namna Katiba Mpya Ndio Jibu. Nchi Iligeuzwa kama Familia ya Mtu ..Daaah! Hakuna aliyekooa Simba alipounguruma. Na Nyerere alituonya kuhusu Katiba Hii, Ya kwamba akitokea Rais Anayeifuata kwa dhati basi Watanzania Watakinywea na Tulikinywea...
Yeye Nyerere alikaa miaka mingapi mbona hakuibadilisha sikia mkuu hata huyo lisu km angeshinda lzm angesubir mpk kipindi cha pili karibu nakuondoka ndio ailete hakuna mtu mweusi anaekubali kujipunguzia madaraka kisa tu kuwarizisha watu flan.Ukweli ni kwamba Samia atabadilisha lkn mpk 2028 huko ili amuachie kimbembe mwenzake.ndio alivyanya hata mkwere.
 
Back
Top Bottom