Rais Samia, kukuza uchumi ni agenda endelevu, usipotoshwe ukadondoka puuuh!

Rais Samia, kukuza uchumi ni agenda endelevu, usipotoshwe ukadondoka puuuh!

Wahafidhina ndani ya CCM wanamshauri vibaya, na naelekea wameanza kumzidi nguvu.

Wanataka aendeleze dhulma za Magufuli kwa sababu aliwapa vyeo bila wao kuvitolea jasho kwenye chaguzi. Wanahisi kama nchi ikiwa na fair ground kupitia katiba nzuri basi hata wao wanaweza kupigwa chini kwenye chaguzi fair, na hilo hawalitaki!

Aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi.
Ameanza kiburi mapema sn baada ya watu kumsifia
 
Yeye Nyerere alikaa miaka mingapi mbona hakuibadilisha sikia mkuu hata huyo lisu km angeshinda lzm angesubir mpk kipindi cha pili karibu nakuondoka ndio ailete hakuna mtu mweusi anaekubali kujipunguzia madaraka kisa tu kuwarizisha watu flan.Ukweli ni kwamba Samia atabadilisha lkn mpk 2028 huko ili amuachie kimbembe mwenzake.ndio alivyanya hata mkwere.
Ndiyo anachovizia, basi alete tume huru ya uchaguzi
 
Mpeni muda mambo yatakaa sawa...

..Nakumbuka baada ya vita vya Kagera / Uganda Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliomba Watz " wafunge mikanda " kwa miezi 18 ili arekebishe uchumi.

..tangazo hilo lilifuatiwa na hatua mbalimbali za kubana matumizi haswa ya fedha za kigeni.

..moja ya eneo ambalo serikali ililenga ni uagizaji wa mafuta. Serikali ilikuwa haina fedha za kutosha kuagiza mafuta.

..kutokana na hali hiyo kukawa na marufuku ya kuendesha gari binafsi Jumapili baada ya saa 8 mchana. Yaani polisi akikukuta unaendesha gari binafsi Jumapili baada ya saa 8 utaipeleka gari hiyo kituoni.

..SAMAHANI kama nimechepuka nje ya mada.

Cc Kiranga, Nguruvi3
 
Muda Utaongea, Maana Kikombe Tulichokinywea Kwa Miaka Mitano, Hakuna Namna Katiba Mpya Ndio Jibu. Nchi Iligeuzwa kama Familia ya Mtu ..Daaah! Hakuna aliyekooa Simba alipounguruma. Na Nyerere alituonya kuhusu Katiba Hii, Ya kwamba akitokea Rais Anayeifuata kwa dhati basi Watanzania Watakinywea na Tulikinywea...
Kweli asee tumepiga kwenye shida balaa
 
..Nakumbuka baada ya vita vya Kagera / Uganda Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliomba Watz " wafunge mikanda " kwa miezi 18 ili arekebishe uchumi.

..tangazo hilo lilifuatiwa na hatua mbalimbali za kubana matumizi haswa ya fedha za kigeni.

..moja ya eneo ambalo serikali ililenga ni uagizaji wa mafuta. Serikali ilikuwa haina fedha za kutosha kuagiza mafuta.

..kutokana na hali hiyo kukawa na marufuku ya kuendesha gari binafsi Jumapili baada ya saa 8 mchana. Yaani polisi akikukuta unaendesha gari binafsi Jumapili baada ya saa 8 utaipeleka gari hiyo kituoni.

..SAMAHANI kama nimechepuka nje ya mada.

Cc Kiranga, Nguruvi3
Du kumbe watu wamepitia hali ngumu hivi?
 
Balaa na nusu, kumbe teacher naye alikuwa dikteta haswa

..falsafa za teacher zilituathiri kiuchumi.

..alikwenda mikoa ya kusini akaanzisha vijiji vya ujamaa / operation vijiji na kupelekea zao la korosho kuanguka.

..na wakati huo waziri mkuu alikuwa rashidi mfaume kawawa anatokea kusini mbunge wa liwale.

..fast forward ktk utawala wa Jiwe. Waziri mkuu anatokea kusini, wakulima wa korosho wakavamiwa na serikali.
 
Kipindi cha pili anaweza kukiona lakini kwa kuiba kura, na hata akifanikiwa akaingia tena, iwapo atapuuza madai haya ya wananchi ataishia kuwa raisi wa vitu vidogovidogo visivyoacha legacy yoyte ya maana
Ataishia kuwa Rais wa madaraja na mitaro ya maji.
 
..falsafa za teacher zilituathiri kiuchumi.

..alikwenda mikoa ya kusini akaanzisha vijiji vya ujamaa / operation vijiji na kupelekea zao la korosho kuanguka.

..na wakati huo waziri mkuu alikuwa rashidi mfaume kawawa anatokea kusini mbunge wa liwale.

..fast forward ktk utawala wa Jiwe. Waziri mkuu anatokea kusini, wakulima wa korosho wakavamiwa na serikali.
Jiwe alikuwa na mawazo ya kimaskini sana
 
..Nakumbuka baada ya vita vya Kagera / Uganda Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliomba Watz " wafunge mikanda " kwa miezi 18 ili arekebishe uchumi.

..tangazo hilo lilifuatiwa na hatua mbalimbali za kubana matumizi haswa ya fedha za kigeni.

..moja ya eneo ambalo serikali ililenga ni uagizaji wa mafuta. Serikali ilikuwa haina fedha za kutosha kuagiza mafuta.

..kutokana na hali hiyo kukawa na marufuku ya kuendesha gari binafsi Jumapili baada ya saa 8 mchana. Yaani polisi akikukuta unaendesha gari binafsi Jumapili baada ya saa 8 utaipeleka gari hiyo kituoni.

..SAMAHANI kama nimechepuka nje ya mada.

Cc Kiranga, Nguruvi3
Hizi akili za kusimamisha mambo muhimu na kujidai unajenga uchumi huwa ni kisingizio tu
 
muacheni mama wa watu kwanza alipokabidhiwa nchi alitetemeka hakutegemea
 
Back
Top Bottom