Rais Samia, kumbuka mgema akisifiwa tembo hulitia maji

Rais Samia, kumbuka mgema akisifiwa tembo hulitia maji

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Naomba kuwasilisha!

Mama ulianza kwa kupika mvinyo mwanana wa uongozi mpaka wasiofungamana na wew kiitikad (ikiwemo Mimi mshale21) wakaukubali kwa utam kisha wakaonesha hisia zao kua huenda mwelekeo ukawa sawa!

Sasa umepata sifa umeanza kupiga dilution kwenye mvinyo Sasa hauna Radha na hakuna tofauti na sumu!

Mods please naomba post zngu zote zilizoonesha kuwa Nina matumaini na awamu ya sita ya uongozi mzifute!

Nimeamin CCM ni ileile Kama waimbavyo wao!
 
Kuwa na imani na awamu ya sita isitumiwe kama uchochoro wa watu kuvunja sheria, kujaribu kuvuruga amani iliyopo, na kutafuta huruma kwa mgongo wa matukio ya hovyo yanayopangwa na wanasiasa wachovu ambao wamefilisika kihoja na kimkakati. Wanasiasa ambao wameshindwa kusimamia sera zao kikamilifu nk. Namshauri mama asilegeze kamba hata dakika moja, kila atakaevunja sheria na kuvuruga amani kwa nia ya kuja kutafuta huruma huku mitandaoni, ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria. Hakuna muda wa kucheka na nyani shambani. Haya maneno ya kujifanya kumpamba mama ili watu wapate nafasi ya kuiharibu nchi hayana nafasi kwa sasa.
 
Punguzeni midomo basi.
maana ni kama mnamfundisha Rais kazi...!!
 
Back
Top Bottom