Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nawatu walivyokua wana kuanzishia nyuzi zakukupenda wangekuona😁😁😁✌️Watu na nyama zetu!🤸
Acha utoto wako weweBi tozo anavyopenda kukopa hakawii kumuomba mkopo huyo Rais wa nchi choka mbaya kuliko hata sisi!.
Nchi haina jambo hata moja la kupigiwa mfano, nchi chokesti (chok, choka, chokesti).Nchi ya kusadikika haina chochote bora inachoweza ku offer duniani zaidi ya kuiba kura na mali za umma.
Choka mbaya! Makabwera wa kutupwa!Nchi haina jambo hata moja la kupigiwa mfano, nchi chokesti (chok, choka, chokesti).
..Acha utoto wako wewe
We Lucas Mwashambwa penzi kitovu cha uzembe 😂Nimeshasema kuwa naomba usiguse mboni yangu.ephen ndio mboni yangu.kumgusa ephen ni sawa na kutangaza vita au kwenda kuchungia ng'ombe kwenye kambi ya jeshi
Kwa ephen nimenasa kama sumaku au zege lililokauka.We Lucas Mwashambwa penzi kitovu cha uzembe 😂
Wivu na chuki binafsi vitakuuwa mwaka huuAnatupotezea muda tuu....hakuna la maana huyu anaemgiata hana u ubunifu zaidi kukopa.....kuuza mali na kupiga deal