beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kukosekana Mfumo wa uhakika wa utambuzi wa Wakazi na Makazi umepelekea athari nyingi kiuchumi, kiusalama na kijamii.
Amesema manufaa ya Mifumo hiyo ya utambuzi ni mengi ikiwemo kuwezesha kufanyika Biashara Mtandao na kuimarisha usalama.
Ameeleza hayo leo akishiriki Kikao Kazi cha Wakuu wa Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi na kusema, "Hata wanaofanya Biashara Mtandao tutawajua. Sasa hivi kuna biashara za mtandao nyingi zinafanyika hazilipi Kodi na hatuzijui. Utakapoingia Mfumo huu tutawajua"
Amesema manufaa ya Mifumo hiyo ya utambuzi ni mengi ikiwemo kuwezesha kufanyika Biashara Mtandao na kuimarisha usalama.
Ameeleza hayo leo akishiriki Kikao Kazi cha Wakuu wa Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi na kusema, "Hata wanaofanya Biashara Mtandao tutawajua. Sasa hivi kuna biashara za mtandao nyingi zinafanyika hazilipi Kodi na hatuzijui. Utakapoingia Mfumo huu tutawajua"