Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Morogoro sec,UDOM ipo fully kichina.“Nimeambiwa Shule hii ni ya mchepuo wa Kingereza. Sasa nina pendekezo. Unajua unapobadilisha mitaala ya elimu, Waziri wa Elimu yuko hapa. Tumebadilisha mitaala ya elimu na sera yetu ya elimu kuendana na mabadiliko ya Dunia yanavyokwenda.
"Shule hii ni mchepuo wa Watoto ambao watafundishwa kwa Kingereza. Kwa hiyo tunatarajia watakapotoka hapa huko njiani ni ‘how are you’, ‘how are you doing’na hivyo na mambo kama hayo,” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Watakuwepo mkuu,hata yai kware kuna watu wanalimudu vizuri sanaHilo yai lenyewe watu hawalimudu wataweza kichina kweli 🙄