Rais Samia, kuna matapeli wanakudanganya na kukuficha juu ya ukweli halisi wa shida za Watanzania Afrika Kusini

Rais Samia, kuna matapeli wanakudanganya na kukuficha juu ya ukweli halisi wa shida za Watanzania Afrika Kusini

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Mama najuwa unaingia JF, wewe ni muungwana sana kwenye ziara yako South Africa umewaita viongozi wa TACOP kupitia balozi Milanzi kwa niaba ya Watanzania wote wanaoishi Afrika Kusini.

Lakini cha kusikitisha viongozi hawa waliowakilisha badala ya kuja kuwakilisha wamegeuka machawa hata suti zao wakavuliwa na kuvalisha T-shirts zako, sina tatizo na hilo.

Tatizo langu ni viongozi wa TACOP isipokuwa Mohammed Msangi peke yake ambaye kwa Sasa yupo Tanzania wamewasaliti Watanzania.

Kuna shida nyingi sana ambazo kimsingi walipaswa wakuambie badala ya kula tu ubwabwa na kupiga Picha kuturushia kwenye group la WhatsApp hawa ni wapuuzi wakubwa.

Mama hapa ninavyoandika kuna maiti 10 za Watanzania waliokufa kwa sababu tofauti tofati zipo Monchwari zina subiri kusafirishwa kuleta Tanzania kwenye familia zao kwa mazishi na kila maiti ni Rand 25,000/= kuitowa Swiss port ni Tsh 250,000/= na watu wa afya wameongoza kipengele cha sh 50,000/= kukaguwa maiti sijui wanataka kuzifufuwa au vipi?

Sasa katika mazingira haya inashangaza viongozi wa TACOP unawaita wanaishia kuja kula pilau na kupiga Picha wakati maiti 10 ziko monchwari zina subiri michango hivi hawa wana akili kichwani?

Part one wacha niishie hapo kwanza, uongozi wa TACOP ung'olewe.
 
Hujui nilichoandika wala hujui ulichoandika chukuwa kopo ukachambe.
Huwa unajiona mwamba lakini Huna kitu. Kila siku unajinasibu kuwa upa hapa TZ na leo unaleta umbea (maana unasemea walio sauzi)! Si uachie walio huko walete huo ujumbe? Kimbelembele chako tu.
 
Kwa hiyo tatizo la msingi la Watanzania waishio South Afrika ni hizo maiti 10?
Yapo matatizo, hiini sample tu, siwezi kuandika yote hapa, Rais ametowa fursa viongozi wa TACOP wameshindwa kuitumia badala yake wamekwenda kula pilau na kupiga Picha tu.
 
Huwa unajiona mwamba lakini Huna kitu. Kila siku unajinasibu kuwa upa hapa TZ na leo unaleta umbea (maana unasemea walio sauzi)! Si uachie walio huko walete huo ujumbe? Kimbelembele chako tu
Huna akili, ni masaa matatu tu kwa ndege Dar to Johannesburg, na ni kilometres 5000 tu Dar to Johannesburg.
 
Mama najuwa unaingia JF, wewe ni muungwana sana kwenye ziara yako South Africa umewaita viongozi wa TACOP kupitia balozi Milanzi kwa niaba ya Watanzania wote wanaoishi Afrika Kusini.

Lakini cha kusikitisha viongozi hawa waliowakilisha badala ya kuja kuwakilisha wamegeuka machawa hata suti zao wakavuliwa na kuvalisha T-shirts zako, sina tatizo na hilo.

Tatizo langu ni viongozi wa TACOP isipokuwa Mohammed Msangi peke yake ambaye kwa Sasa yupo Tanzania wamewasaliti Watanzania.

Kuna shida nyingi sana ambazo kimsingi walipaswa wakuambie badala ya kula tu ubwabwa na kupiga Picha kuturushia kwenye group la WhatsApp hawa ni wapuuzi wakubwa.

Mama hapa ninavyoandika kuna maiti 10 za Watanzania waliokufa kwa sababu tofauti tofati zipo Monchwari zina subiri kusafirishwa kuleta Tanzania kwenye familia zao kwa mazishi na kila maiti ni Rand 25,000/= kuitowa Swiss port ni Tsh 250,000/= na watu wa afya wameongoza kipengele cha sh 50,000/= kukaguwa maiti sijui wanataka kuzifufuwa au vipi?

Sasa katika mazingira haya inashangaza viongozi wa TACOP unawaita wanaishia kuja kula pilau na kupiga Picha wakati maiti 10 ziko monchwari zina subiri michango hivi hawa wana akili kichwani?

Part one wacha niishie hapo kwanza, uongozi wa TACOP ung'olewe.
Huyu jamaa anajifanya mwanasiasa sana.
Anahisi anaongea fact kumbe porojo.

Unakata kwenye warsha wale maiti??
Tatizo lako unatapeli watu wengi ndio maana kila mtu n aduii yako
Kifupi una uswahili swahili sana.

Nahisi antena zako hazipo sawa
Jitafakali anti matola
 
Back
Top Bottom