Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hajielewi kabisa!Anamaanisha wana mipango mizuri waliyoipanga mapema ya kununua magari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajielewi kabisa!Anamaanisha wana mipango mizuri waliyoipanga mapema ya kununua magari?
Basi kumbe na mambo ya utekaji na uuaji anayajua , sema tu ni mpango w....Rais Samia amesema kuna watu wanapita huku na huko na kusema serikali hii inafuja fedha Kwa kununua Magari ya kifahari badala ya Matrekta kumbe hawajui serikali ina mipango yake
Rais Samia amesema hawazuki Tu na kuanza kununua Magari bali ni mipango iliyopangwa vizuri sana mapema
Source: EATV
Pia, soma: Je, Msafara wa Rais wenye Magari 118 ni Uwajibikaji?
mama unataka tu kutukanwa bure kwa kujitia utaahira.UWewe siyejijuwa, nani alikudanganya "nchi hii" ni masikini?
Kama Masikini ni wewe ambae unakula data unaingia mitandao ya kijamii kuandika pumba, sijuwi hao matajiri wakoje.
KongoleeeHuyo mama yenu hatoshi , ifike mahali akubali hiyo nafasi aliipata tu by default ila kiuhalisia haimfai.
Kchwani kutupu. Halafu sisi wananchi nao tuna shida kubwa. Kiongozi yeyote hahitaji kutumia akili kuongea na sisi.😂Mama hawezi hata kudanganya
Mkuu katiba inatungwa na watu. Huu ni uozo wa CCM.Dah tusimlaumu mama ni Katiba ilio muweka pale.Lakini bado hatoshei kiuwezo.
Tulizoea hotuba iliyo jaa takwimu mbalimbali lakini hotuba kama nyeupe haina hata mvuto.
Hauna furaha.UWewe siyejijuwa, nani alikudanganya "nchi hii" ni masikini?
Kama Masikini ni wewe ambae unakula data unaingia mitandao ya kijamii kuandika pumba, sijuwi hao matajiri wakoje.
Mipango gani wakati watu wanajua namna dealers wanaloby kuuzia serikali magari ya kifahari tena kwa bei ya kuruka. Kuna wakati awamu ya 5 kulitolewa pendekezo serikali ikiwa na order kubwa ya magari waagize moja kwa moja kutoka viwandani.Rais Samia amesema kuna watu wanapita huku na huko na kusema serikali hii inafuja fedha Kwa kununua Magari ya kifahari badala ya Matrekta kumbe hawajui serikali ina mipango yake
Rais Samia amesema hawazuki Tu na kuanza kununua Magari bali ni mipango iliyopangwa vizuri sana mapema
Source: EATV
Pia, soma: Je, Msafara wa Rais wenye Magari 118 ni Uwajibikaji?
AlhamduliLlah, cha kunikosesha furaha kipi zaidi? Kumbuka mimi ni Muislam.Hauna furaha.
🐼AlhamduliLlah, cha kunikosesha furaha kipi zaidi? Kumbuka mimi ni Muislam.
Duh 🙄Anamaanisha wana mipango mizuri waliyoipanga mapema ya kununua magari?
Huu uwozo tutazeeka nao...Mkuu katiba inatungwa na watu. Huu ni uozo wa CCM.
Kweli kabisa 💯, ya Kikwete nayo ilikuwa hasara tupu, na hii pia, watu wamekuwa chawa mpaka basi, elimu wameweka matakoni.Miaka ya hasara tena