Pre GE2025 Rais Samia: Kuna watu wanapita huku na huko na kusema Serikali hii inafuja fedha Kwa kununua Magari ya kifahari badala ya Matrekta!

Pre GE2025 Rais Samia: Kuna watu wanapita huku na huko na kusema Serikali hii inafuja fedha Kwa kununua Magari ya kifahari badala ya Matrekta!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Rais Samia amesema kuna watu wanapita huku na huko na kusema serikali hii inafuja fedha Kwa kununua Magari ya kifahari badala ya Matrekta kumbe hawajui serikali ina mipango yake

Rais Samia amesema hawazuki Tu na kuanza kununua Magari bali ni mipango iliyopangwa vizuri sana mapema

Source: EATV

Pia, soma: Je, Msafara wa Rais wenye Magari 118 ni Uwajibikaji?
Basi kumbe na mambo ya utekaji na uuaji anayajua , sema tu ni mpango w....
 
UWewe siyejijuwa, nani alikudanganya "nchi hii" ni masikini?

Kama Masikini ni wewe ambae unakula data unaingia mitandao ya kijamii kuandika pumba, sijuwi hao matajiri wakoje.
Hauna furaha.
 
Rais Samia amesema kuna watu wanapita huku na huko na kusema serikali hii inafuja fedha Kwa kununua Magari ya kifahari badala ya Matrekta kumbe hawajui serikali ina mipango yake

Rais Samia amesema hawazuki Tu na kuanza kununua Magari bali ni mipango iliyopangwa vizuri sana mapema

Source: EATV

Pia, soma: Je, Msafara wa Rais wenye Magari 118 ni Uwajibikaji?
Mipango gani wakati watu wanajua namna dealers wanaloby kuuzia serikali magari ya kifahari tena kwa bei ya kuruka. Kuna wakati awamu ya 5 kulitolewa pendekezo serikali ikiwa na order kubwa ya magari waagize moja kwa moja kutoka viwandani.
 
Kuna wakati kila mmoja wetu husema jambo ambalo hakuwa na maana ya jinsi litakavyo pokelewa na upande wa pili !!
👍🙏😅
 
Back
Top Bottom