Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mpuuzi nini nizaliwe 2000 then 2005 niwe na uwezo kuwa kutambua watu kwenye siasaKama umeanza kuwasikia miaka hiyo basi utakuwa umezaliwa miaka ya 2000 mwanzoni sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuzi nini nizaliwe 2000 then 2005 niwe na uwezo kuwa kutambua watu kwenye siasaKama umeanza kuwasikia miaka hiyo basi utakuwa umezaliwa miaka ya 2000 mwanzoni sana
Kama mmemmiss kamfufueni dada, tafuta pesa hili hao wauza unga wasikutambie mtaaniNafikiri hii ni forum nzuri kwa viongozi wetu wa chama kujitafakari kwa nini asilimia 93 ya watanzania wameMmiss Magufuli.
Watu wanataka viongozi wawajibikaji, wachapakazi, wenye uchungu na mali za umma na wanaojali wanyonge wanaotafuta rizki zao kwa shida aina hii ya kiongozi waliipata kwa Magufuli.
Leo upigaji na manyanyaso yamerudi kila kona mpaka wauza unga wanatamba mtaani.
Kwa hiyo uwezekano wa kupata kiongozi mzuri kwa mapenzi na makusudi ya Mungu upo
Hilo jitu mnalikumbuka nyinyi,,, Magufuli angekuwa best president Kama angefata demokrasia na kuacha roho mbaya, ndo maana watanzania wamegawanyika, kwenye kumkubaliHatutapata tena Rais wa aina ya JPM kwa kuwa sie ni Wajinga tulishindwa kuienzi na kuitunza 'Lulu' ile ambayo tuliipata kwa bahati mbaya tu kutokana na 'ugomvi wa majambazi'
Kwa jinsi alivyopata shida JPM kutupigania huku akikosa support ya waliopaswa kum support hakuna Rais atakaejaribu kuwa kama JPM…atakuwa anajisema 'cha kufia nini…'
Samia hawezi kufanya huo ujinga, mshazoea utawala wa dikteta kutimua watu hovyo hadi Wengine walianguka kwa presha nakufariki,Rais analalamika kwamba viongozi hawana uwezo lakini anaogopa kuwafuta kazi.
Kama mtu hana uwezo muondoe weka mwingine.
Hilo jitu mnalikumbuka nyinyi,,, Magufuli angekuwa best president Kama angefata demokrasia na kuacha roho mbaya, ndo maana watanzania wamegawanyika, kwenye kumkubali
Wewe ni among them mtafukuzwa tu when the right time comes.Samia hawezi kufanya huo ujinga, mshazoea utawala wa dikteta kutimua watu hovyo hadi Wengine walianguka kwa presha nakufariki,
Subiri chama chenu Cha Cuf kishike nchi mje mtawale kwa mkono wa chuma Kama hayati
Endelea kuota,stroke ya brain inakusumbua,Samia yupo hadi 2039Wewe ni among them mtafukuzwa tu when the right time comes.
Hilo jitu mnalikumbuka nyinyi,,, Magufuli angekuwa best president Kama angefata demokrasia na kuacha roho mbaya, ndo maana watanzania wamegawanyika, kwenye kumkubali
We nyumbu hovyo kabisa, Ina maana tar 1 April wewe na nyumbu wenzako mtajifungia ndani mkae tuu ili msiwe wajinga?Naanza kuamini Utafiti wa Kisayansi uliofanywa na shirika la Twaweza na kubaini kuwa CCM inaungwa mkono na wanachama wengi wajinga. Kikao chao pia kinaketi Tarehe 1 April ambayo ndiyo siku ya Wajinga Duniani. Sidhani Kama hii imetokea kwa bahati mbaya.
Maendeleo hayana Vyama.
Mkutano mkuu 1.4.2022Wewe ndiye mjinga kwakuwa hata tarehe ya kikao huijui ilihali imeandikwa kwenye bango.
Nitajie rais ambae raia hawajagawanyika kwenye kumkubali, huyu aliyepo tu watu washagawanyika hata kabla hajamaliza mwezi madarakani.Hilo jitu mnalikumbuka nyinyi,,, Magufuli angekuwa best president Kama angefata demokrasia na kuacha roho mbaya, ndo maana watanzania wamegawanyika, kwenye kumkubali
Wewe uwezo wake unauonaje?Rais analalamika kwamba viongozi hawana uwezo lakini anaogopa kuwafuta kazi.
Kama mtu hana uwezo muondoe weka mwingine.
Uwezo wa huyo dada ni mdogo.Wewe uwezo wake unauonaje?
Kama uwezo wake umekiri ni mdogo, huo uwezo wa kuwapata wenye uwezo mkubwa anaupataje kwa mfano?Uwezo wa huyo dada ni mdogo.
Naona upo jikoni mkuuKinana IN
Hapana ilivuja kitambo tuNaona upo jikoni mkuu