Rais Samia kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kesho Machi 31, 2022

Kama mmemmiss kamfufueni dada, tafuta pesa hili hao wauza unga wasikutambie mtaani
 
Hilo jitu mnalikumbuka nyinyi,,, Magufuli angekuwa best president Kama angefata demokrasia na kuacha roho mbaya, ndo maana watanzania wamegawanyika, kwenye kumkubali
 
Rais analalamika kwamba viongozi hawana uwezo lakini anaogopa kuwafuta kazi.

Kama mtu hana uwezo muondoe weka mwingine.
Samia hawezi kufanya huo ujinga, mshazoea utawala wa dikteta kutimua watu hovyo hadi Wengine walianguka kwa presha nakufariki,
Subiri chama chenu Cha Cuf kishike nchi mje mtawale kwa mkono wa chuma Kama hayati
 
Haya Nyerere aliweza aliyoyaweza kwa sababu hakuheshimu wala kufuata Demokrasia

Hata level ya Familia…ma Baba wanaojifanya wana Demokrasia Familia hukosa nidhamu…
Hilo jitu mnalikumbuka nyinyi,,, Magufuli angekuwa best president Kama angefata demokrasia na kuacha roho mbaya, ndo maana watanzania wamegawanyika, kwenye kumkubali
 
Samia hawezi kufanya huo ujinga, mshazoea utawala wa dikteta kutimua watu hovyo hadi Wengine walianguka kwa presha nakufariki,
Subiri chama chenu Cha Cuf kishike nchi mje mtawale kwa mkono wa chuma Kama hayati
Wewe ni among them mtafukuzwa tu when the right time comes.
 
Hilo jitu mnalikumbuka nyinyi,,, Magufuli angekuwa best president Kama angefata demokrasia na kuacha roho mbaya, ndo maana watanzania wamegawanyika, kwenye kumkubali

Big point.
 
We nyumbu hovyo kabisa, Ina maana tar 1 April wewe na nyumbu wenzako mtajifungia ndani mkae tuu ili msiwe wajinga?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Hilo jitu mnalikumbuka nyinyi,,, Magufuli angekuwa best president Kama angefata demokrasia na kuacha roho mbaya, ndo maana watanzania wamegawanyika, kwenye kumkubali
Nitajie rais ambae raia hawajagawanyika kwenye kumkubali, huyu aliyepo tu watu washagawanyika hata kabla hajamaliza mwezi madarakani.

Au na yeye hafati demokrasia??
 
Naye Bernad Membe amerudi kundini. WITHER SUKUMA GANG.

Mungu Ibariki Tanzania, siasa za chuki zimeshindwa
 
Bibi wa Taifa😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…