Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kumbe kakilia huwa kamazeeka na kufanana na kobe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kakilia huwa kamazeeka na kufanana na kobe.
Labda itakuwa.... teh teh teh teh.Huyu si alikuwa kapata shavu kule UN au ?
Au wamemloga hawa wapuuzi wenzake humo ccm ?
Kamwe huwa hatushindi hiyo vita. Kufa ni sehemu ya kushindwa maishaMaisha Uwanja wa Vita
Itakuwa vita ya kiuchumi hiyoAu aliumwa? au alipigwa risasi ? au ni nini ?