dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... tuwe wapole basi si kutwa kucha kuwatukana kwenye majukwaa! CCM!Huko ndio watalii wenye 'madolari' wanapotokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... tuwe wapole basi si kutwa kucha kuwatukana kwenye majukwaa! CCM!Huko ndio watalii wenye 'madolari' wanapotokea.
Wakikosea wakosolewe na wakifanya vyema wapongezwe.... tuwe wapole basi si kutwa kucha kuwatukana kwenye majukwaa! CCM!
... Unafiki Mkuu! Kesho watasimama majukwaani mbele ya wanyonge kuwananga mabeberu! Wangekuwa wanaongea ukweli siku zote wala isingekuwa na shida. Tatizo unafiki.Wakikosea wakosolewe na wakifanya vyema wapongezwe.
Kionjo hicho hapo.Wasiwasi wangu vile jinsi ilivyotengenezwa....
Ngoja tuone ...
Wahusika wakuu,wahusika duara ,wahusika wajenzi,manzali, vinaendana na jina na kilichomo ndani!!?
Wasije kutuletea kitu chaajabu hapa.
Watoto wako lazima wale. Endelea kujifanya mtetezi labda utaonekana.Nyie 'Pinga pinga FC' wivu tu umewajaa.
Sekta ya utalii Tanzania itapaa zaidi na zaidi kwa siku zijazo.
Kwa sababu inahusu utaliii, inalenga kuvutia utaliii na watalii wengi wanatokea U.S.A... nimeuliza kwanini haikuzinduliwa nchini badala yake uzinduzi unafannyika kwa beberu Mkuu?
Muache basi kuwatukana mkiwa majukwaani! Na muwe mnawaalika kwenye mikutano yenu ya chama kama vyama rafiki.Kwa sababu inahusu utaliii, inalenga kuvutia utaliii na watalii wengi wanatokea U.S.A
Anayefanya vyema anastahili pongeziWatoto wako lazima wale. Endelea kujifanya mtetezi labda utaonekana.
Usichanganye Uhuru wetu na mahusiano yetu ya kimataifaMuache basi kuwatukana mkiwa majukwaani! Na muwe mnawaalika kwenye mikutano yenu ya chama kama vyama rafiki.
... kipi muhimu zaidi?Usichanganye Uhuru wetu na mahusiano yetu ya kimataifa
Pongezi huwa hailazimishwi. Kwa jinsi unavyojipa jukumu la ku attack comment ya kila unaehisi hapongezi, ni wazi kuwa una lazimisha hongera.Anayefanya vyema anastahili pongezi
Uhuru unatangulia na mahusiano hufuata.... kipi muhimu zaidi?
Upotoshaji lazima ukemewePongezi huwa hailazimishwi. Kwa jinsi unavyojipa jukumu la ku attack comment ya kila unaehisi hapongezi, ni wazi kuwa una lazimisha hongera.
Ukikubali wewe inatosha, usianze kuita watu wapingaji kwa vile tu wapo kinyume na mtazamo wako.
... mahusiano yetu na China na Urusi ni ya kiuhuru au kimahusiano?Uhuru unatangulia na mahusiano hufuata.
Hata mabeberu hulinda kwanza uhuru wao kabla ya mahusiano mfano nchi za ulaya magharibi zililaani udukuzi waliofanyiwa viongozi wao na USA ( mshirika wao)
Vyote... mahusiano yetu na China na Urusi ni ya kiuhuru au kimahusiano?
Jifunze kukubali kutokukubali. Kupinga jambo sio kupotosha bali ni haki ya kuwa na mtazamo tofauti.Upotoshaji lazima ukemewe
Umewahisikia Dar inapeleka kuuza viazi Njombe au Mbeya... nimeuliza kwanini haikuzinduliwa nchini badala yake uzinduzi unafannyika kwa beberu Mkuu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...Kionjo hicho hapo.