Ukweli umekuuma, vumilia sindano muhimu upone.
 
That means tuko nao vizuri kuliko mabeberu. Kwanini uzinduzi haukufanyika Moscow or Beijing?
Umetumia vigezo gani kusema tuko nao vizuri kuliko mabeberu ?

Watalii wetu wengi hutokea US na nchi za EU kuliko huko China na Urusi, tunaangalia panapolipa zaidi ndio tukazindulia huko
 
Nonsense, majizi matupu.
 
Umetumia vigezo gani kusema tuko nao vizuri kuliko mabeberu ?

Watalii wetu wengi hutokea US na nchi za EU kuliko huko China na Urusi, tunaangalia panapolipa zaidi ndio tukazindulia huko
... tunawaalika kwenye vikao vya Chama maana yake nini Mkuu? Umewahi kuona mabeberu wakitia pua kwenye mikutano mikuu ya chama chetu? Tafakari.
 
... tunawaalika kwenye vikao vya Chama maana yake nini Mkuu? Umewahi kuona mabeberu wakitia pua kwenye mikutano mikuu ya chama chetu? Tafakari.
Haya ni mahusiano binafsi ya vyama hata vyama vingine vina vyama rafiki huko dunia ya kwanza

Kuna muda viongozi wa vyama vyetu (pinzani na tawala) hukutana na mabalozi kutoka nchi za mabeberu.....hakuna jipya hapo
 
Haya ni mahusiano binafsi ya vyama hata vyama vingine vina vyama rafiki huko dunia ya kwanza

Kuna muda viongozi wa vyama vyetu (pinzani na tawala) hukutana na mabalozi kutoka nchi za mabeberu.....hakuna jipya hapo
... What does it mean by mahusiano binafsi ya vyama?
 
Waisalam wote hatuikubali Marekani maana inatuhusisha na Ugaidi, Hivyo hatukabalini na kitu kiachohusiana na USA
 
Yanalenga zaidi itikadi baina yao, kubadilishana uzoefu wa uendeshaji na uongozaji wa vyama.
... itikadi huzaa sera, sera huzaa ilani, ilani huzaa sheria. In that sense, hatuna itikadi inayoeleweka; neither east nor west au sio?
 
... itikadi huzaa sera, sera huzaa ilani, ilani huzaa sheria. In that sense, hatuna itikadi inayoeleweka; neither east nor west au sio?
Yap!... tupo vuguvugu tu
 
ITAPENDEZA WaTz tukajulishwa, kupitia Bunge, gharama za kutengeneza hiyo FILAMU na lini inategemewa gharama hizo zitarudishwa ikiwa ni pamoja na za kuitangaza km gharama za safari hiyo ya Rais na wapambe wake (nauli, malazi nk)
 
Asante mama tunakuombea mafanikio mema ili nasi tupate maendeleo
 
ITAPENDEZA WaTz tukajulishwa, kupitia Bunge, gharama za kutengeneza hiyo FILAMU na lini inategemewa gharama hizo zitarudishwa ikiwa ni pamoja na za kuitangaza km gharama za safari hiyo ya Rais na wapambe wake (nauli, malazi nk)
...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…