Rais Samia kupokea ripoti ya CAG leo Machi 30, Ikulu Dodoma

Rais Samia kupokea ripoti ya CAG leo Machi 30, Ikulu Dodoma

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20220330_095926149291.jpg

Leo Rais Samia atakuwa anapokea ripoti ya CAG Charles Kichere kwa ukaguzi wa hesabu za mwaka 2020/202. Shughuli hivo pevu itaanza saa 4 asubuhi.

CAG ana machagua mawili tu,ama kuanika uozo wote wa awamu ya sita au kuchakachua kutaka kuonyesha mama anaupiga mwingi.

Kama amenyofoa kurusa zenye uozo warudishe haraka.

Namshauri ajifunze kwa Kikosi kazi cha kinyesi cha mifugo, aibu ataipata.
 
Hizo ripoti huwa zinapokelewa wanaongea kwa ukali waliochezea pesa za umma watashughulikiwa baada ya hapo kimya.

CCM ni ile ile.
Mchezo wa kuigiza na kula pesa, kwa tukio hilo utaambiwa million 500 zimetumika.
 
Hizo ripoti huwa zinapokelewa wanaongea kwa ukali waliochezea pesa za umma watashughulikiwa baada ya hapo kimya.

CCM ni ile ile. Ngoja niuone ukali wao wa leo.
Tena mdhibiti atuambie waliokula hela miaka ya nyuma wamechukuliwa hatua gani
 
Hizo ripoti huwa zinapokelewa wanaongea kwa ukali waliochezea pesa za umma watashughulikiwa baada ya hapo kimya.

CCM ni ile ile. Ngoja niuone ukali wao wa leo.
Report ya CAG iliweka wazi jinsi Kigwangala alivyofanya ufisadi kwenye Utalii Festival ila baada ya hapo watu bado wanarembuliana macho tu.
 
Ripoti ya PCCB ndiyo inachekesha saa hizi namsikia kamanda anasifia mgao wa fedha Toka mfuko mkuu wa serikali hazina za kujengea ofisi za PCCB mikoani na wilayani,
 
Ripoti ya PCCB ndiyo inachekesha saa hizi namsikia kamanda anasifia mgao wa fedha Toka mfuko mkuu wa serikali hazina za kujengea ofisi za PCCB mikoani na wilayani,
PCCB sijaona cha maana,ngoja tumsubiri Mdhibiti
 
View attachment 2168977

Leo Rais Samia atakuwa anapokea ripoti ya CAG Charles Kichere kwa ukaguzi wa hesabu za mwaka 2020/2021. Shughuli hivo pevu itaanza saa 4 asubuhi

CAG ana machagua mawili tu,ama kuanika uozo wote wa awamu ya sita au kuchakachua kutaka kuonyesha mama anaupiga mwingi. Kama amenyofoa kurusa zenye uozo warudishe haraka. Namshauri ajifunze kwa Kikosi kazi cha kinyesi cha mifugo,aibu ataipata
Hakuna Ssbabu za Kuwa na CAG Kwani REPORTS Zake Hazifanywi Kazi WABADHIRIFU WANALINDANA
 
Na mzee wa kutaka pesa za assasi za kiraia ipewe serikali atakuwepo!?
 
Lazima jamaa aseme awamu hii ni clean kuliko iyopita.
 
Hiyo ripoti itainyesha kinyesi na mikojo ya mto Mara,pamoja na Ile ya Kigwangala?
 
Msibiti buana! Anasoma report kama paroko anasoma ibada kanisani
 
Back
Top Bottom