Rais Samia kupokea ripoti ya CAG, Machi 28, 2021 saa nne asubuhi Dodoma

Rais Samia kupokea ripoti ya CAG, Machi 28, 2021 saa nne asubuhi Dodoma

Hiyo ripoti imeandaliwa lini ..kama ni baada ya Magufuli kwenda zake sawa....ngoja tusubiri
Ni vizuri kusoma kabla ya kutoa comments. Imeandikwa wazi kwenye taarifa pale juu kuwa ripoti hii ni ya mwaka wa fedha 2019/2020. Sijui una maana gani kuwa baada ya Magufuli kwenda zake!
 
Rais Samia asipende sana kuonekana kwenye tv kama mtangulizi wake.
 
Kawaida anapokea rais kwanza kisha inaenda bungeni. Ilikuwa ipokelewe mwezi wa 3 mwanzoni ila ndio hivyo ya Mungu mengi
Nisahihishe kama ntakosea kwan report ya CAG Huwa inajadiliwa mwezi wa nne au wa pili make bunge lijalo huwa ni la budget tu sasa nashangaaa kuona ndo anaipokea wakati ilitakiwa kupokelewa mwezi wa Pili kabla ya bunge kuanza la january to february.hii imekaaje wakuu? Au mama kaanza kutema cheche?kaziomba purposely kabisa?
 
Rais Samia asipende sana kuonekana kwenye tv kama mtangulizi wake.
Tena ndo anatakiwa aonekane sana.....ila akiwa anafanya vitu positive.....maandalizi ya 2025.....labda kama hana nia.
 
Mhe.Rais kesho kupokea ripoti ya CAG.View attachment 1735972
Nchi nyingi za Kiislamu Jumapili ni siku ya kazi. Hapa kwetu ni mapumziko, na wengine tunakuwa kwenye nyumba za ibada. Pia kwa siku ya jana, muda huo wengi wetu tulikuwa tukiandamana na matawi kuingia kanisani!!
Zingatia kuwa tukio lilikuwa limepangwa kuonwa na kusikilizwa na watanzania wengi. Je, audience iliyolengwa ni wale wasioabudu siku za Jumapili?

Hata kama sheria inasema isizidi tarehe 28 Machi kila mwaka, hiyo sheria haina kusogezwa endapo kutakuwa na mazingira yaliyotukumba? Kama haina, basi huu ni muda muafaka kufanyiwa marekebisho.
 
Nchi nyingi za Kiislamu Jumapili ni siku ya kazi. Hapa kwetu ni mapumziko, na wengine tunakuwa kwenye nyumba za ibada. Pia kwa siku ya jana, muda huo wengi wetu tulikuwa tukiandamana na matawi kuingia kanisani!!
Zingatia kuwa tukio lilikuwa limepangwa kuonwa na kusikilizwa na watanzania wengi. Je, audience iliyolengwa ni wale wasioabudu siku za Jumapili?

Hata kama sheria inasema isizidi tarehe 28 Machi kila mwaka, hiyo sheria haina kusogezwa endapo kutakuwa na mazingira yaliyotukumba? Kama haina, basi huu ni muda muafaka kufanyiwa marekebisho.
Usituchoshe bana. Kwani Magufuli alipokuwa anahutubia kanisani mlikuwa mnaungwa makanisa yote muone live?
Serikali haina dini.

Na kwanini uanze na"katika nchi za kiislam"?
Kwani yakwetu ni ya kikiristo?
 
Back
Top Bottom