Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,229
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahusianaje na kichwa cha uzi hii 👆 habari yako?Bado John huyu ambaye akiwa mbele ya mikamera barakoa inambana mpaka karibu ya kufa.....ila kwakuwa huku zilitumika simu,corona hamna. Yaani CHADEMA?....ptuu.View attachment 1736077
Anayeanza kula ni Mume mkuuInategemea,wageni wengine wanaanza kukisifu tu hata kabla ya mume.
Ni vizuri kusoma kabla ya kutoa comments. Imeandikwa wazi kwenye taarifa pale juu kuwa ripoti hii ni ya mwaka wa fedha 2019/2020. Sijui una maana gani kuwa baada ya Magufuli kwenda zake!Hiyo ripoti imeandaliwa lini ..kama ni baada ya Magufuli kwenda zake sawa....ngoja tusubiri
Ulikuwa umezidi kujipendekeza sana.Wewe bado unaramba miguu ya Halima James Mdee!
Wewe una kibarua gani hapo Ufipa manka?Ulikuwa umezidi kujipendekeza sana.
Lakini hata hata utendaji hujapata
Kabisa shetani yuleAsad akirudishwa Ndugai inabidi achomoke.
Mbona ghafla namna hiyo.au Kuna kitu behind the scene.Mhe.Rais kesho kupokea ripoti ya CAG.View attachment 1735972
Bora hata mimi simtegemei mwanadamu!Wewe una kibarua gani hapo Ufipa manka?
Nisahihishe kama ntakosea kwan report ya CAG Huwa inajadiliwa mwezi wa nne au wa pili make bunge lijalo huwa ni la budget tu sasa nashangaaa kuona ndo anaipokea wakati ilitakiwa kupokelewa mwezi wa Pili kabla ya bunge kuanza la january to february.hii imekaaje wakuu? Au mama kaanza kutema cheche?kaziomba purposely kabisa?
Ni utaratibu tu mkuu.....ile huwa inaandaliwa kwa muda mrefu kidogo.Mbona ghafla namna hiyo.au Kuna kitu behind the scene.
Tena ndo anatakiwa aonekane sana.....ila akiwa anafanya vitu positive.....maandalizi ya 2025.....labda kama hana nia.Rais Samia asipende sana kuonekana kwenye tv kama mtangulizi wake.
Angalia niliquote nini mzee.Inahusianaje na kichwa cha uzi hii [emoji115] habari yako?
Kweli kabisa bichi kitakuwa kipimo tena kikubwaKipimo cha pili kwa Samia,baada ya kile cha kutaka kupokonywa urais
SGRCHADEMA sijui wamepata hati ya kiwango gani!!
Nchi nyingi za Kiislamu Jumapili ni siku ya kazi. Hapa kwetu ni mapumziko, na wengine tunakuwa kwenye nyumba za ibada. Pia kwa siku ya jana, muda huo wengi wetu tulikuwa tukiandamana na matawi kuingia kanisani!!Mhe.Rais kesho kupokea ripoti ya CAG.View attachment 1735972
Usituchoshe bana. Kwani Magufuli alipokuwa anahutubia kanisani mlikuwa mnaungwa makanisa yote muone live?Nchi nyingi za Kiislamu Jumapili ni siku ya kazi. Hapa kwetu ni mapumziko, na wengine tunakuwa kwenye nyumba za ibada. Pia kwa siku ya jana, muda huo wengi wetu tulikuwa tukiandamana na matawi kuingia kanisani!!
Zingatia kuwa tukio lilikuwa limepangwa kuonwa na kusikilizwa na watanzania wengi. Je, audience iliyolengwa ni wale wasioabudu siku za Jumapili?
Hata kama sheria inasema isizidi tarehe 28 Machi kila mwaka, hiyo sheria haina kusogezwa endapo kutakuwa na mazingira yaliyotukumba? Kama haina, basi huu ni muda muafaka kufanyiwa marekebisho.