Wapingaji wa mipango ya Samia?Kijakazi nenda kasome kwanza huo mkataba wa EPA. Issue ya kodi ni misconception ya wapingaji wa Mipango ya Rais Samia. Hii kitu inaopetate kama AGOA ya US.
Bado sijaona ubaya wa EPA. Kama wao production cost zao ziko juu wa bidhaa zao basi soko ndilo litaamua. Hakuna mfanyabiashara wa EU ambaye ataleta hizo FMCGs zake mahali penye low demand au penye lack of affordability.
Talking of UNILEVER wenye hisa huko Brookebond Mufindi kwanza nina acknowledge kuwa katika sekta ya kilimo chai ndiyo biggest foreign exchange earner kwa sababu ya soko la EU. In that scenario tuwakaribishe EU players wake wafanye mengi yanayofanana na chai Mufindi.
Huwezi kujenga kiuchumi kama utajutenga na Dunia
Elimu Elimu Elimu juice ya embe Norway watoe wapi?Kuna miti ya maembe Norway?Unajua kweli hali ya hewa ya Norway?Mi mwenzenu natamani kunywa juisi ya embe kutoka Norway.. Ileteni
Ccm ni janga la taifa, hakuna rais hapoIle Trade Agreement EPA iliyokuwa inapingwa kwa kila hali na CCM sasa kusainiwa na Raisi wa Tanzania Samia huko Brussels kwenye EU- Afrika Union summit.
EPA ni free trade Agreement Kati ya EU na Nchi za Afrika Mashariki zikiwemo Tanzania, Kenya, Uganda, Burundi na Rwanda.
Tanzania walipinga EPA kwa maana hawakuona manufaa yoyote kwa nchi yetu kwani hatuna cha kuuza EU wakati EU wana kila kitu cha kuuza kwetu.
Je, Viwanda vyetu juice ya Azam na umeme wa mgao vita compete na EU products? Kama hapo Kenya tu au Uganda ni ngumu kushindana tutaweza EU ?
Ikumbukwe sukari kutoka Brazili ni cheaper kuliko ya Tanzania sasa EU products tax free Tanzania, tutaweza?
Tunategemea kuuza nini EU ? Vipi natural resources zetu ?
Kweli ni Vita ya Kiuchumi RIP Magu …
Ndo hawezi sasaNimesoma na kusema ilkabidi nicheke tuu! Kusema kweli Rais wetu si mwenye tabia ya kusoma vitu hata kidogo! Sitashangaa yeye akisaini kwakuwa kaambiwa! Rais wetu yeye huwa akikutana na mkataba ni kusaini tuu wala sina hakika kama anao muda wa kusoma hata kidogo.
Rais Samia ana udhaifu wa kutopenda kufatilia kujipa muda wa kujitafakari na kupitia mambo yeye huwa ni mtu wa kuanguka tuu sahihi hana muda kabisa.......
Nakumbuka hata ule mkataba pale bandarini alishiriki utiwaji saini baadae akaja kugundua aliingizwa cha kike
Lakini Rais Samia anahitaji kushauriwa zaidi kabla ya kusaini mikataba ni lazima tuangalie mbele na tujiulize je viwanda vyetu na huo uchumi wa viwanda tutafika kweli?
Rais Samia lazima awe makini kwa watu wake wanao mshauri!
Unaanza pale ulipoishia..😅Mimi huyuuuu naanzaje yaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini hatuuzi sasa hiyo kahawa?Unaongelea kuuza kahawa kwani bila kuwa kwenye huu Mkataba unashindwa kuuza kahawa ? , Au na watu milioni kadhaa nchini kwanini msiangalie sera za kuwainua kimapato ili na wao waweze kutumia hio Kahawa ? Au Watanzania hawapendi kula Korosho kwanini tusianzia kwenye root causes za umasikini ili kesho au keshokutwa hizo Korosho tuzi-comsume wenyewe na excess tutume as processed kwa prime prices ?
Sidhani kama mkataba wa EPA ni generic kuwa size fits all. Uwapo wa akina Prof Kabudi kwenye ofisi ya Rais hizi ndizo kazi zao. Customization to Tanzanian land laws haikwepekiView attachment 2120202
Unarudia kilekile nilichoandika yet you are missing the main point soma hiyo point number 2 sio kwa mtazamo wa mwekezaji wa ndani bali wa nje.
That’s a contract clause ‘stabilisation’ ambayo kama mtu kaja kuwekeza sababu ya kusafirisha uwezi kumzuia baadae kwa maamuzi yako.
Kingine sisi atutoi ardhi kwa mwekezaji bali anakuwa na tenure ambayo inabidi aombe tena lease muda ukiisha EPA inasema permananent.
So ni mambo ambayo atuwezi ingia agreement zilizo generic lazima waelewe existing laws zetu kabla ya ku sign hayo makubaliano.
Labda ndio maana admin ya Magufuli kuna mambo walikuwa wanataka yaeleweke kwanza kabla kusaini.
Wewe unazungumza mambo ya viwanda hivi ukiingia kwa wazalishaji wa watanzania wangapi mashine zao ni Germany engineering au products gani za ulaya zimesambaa Tanzania kutoka ulaya. Exports zao kubwa ni machinery sio ndio kwanza wengi wetu machine zao second hand au from Asia.
Goal la EPA kwa sasa ni security of their people investment lakini sio kusema eti imports they know atuwezi mudu even their cheapest products. Like I said it’s a bad agreement but you need to be careful.
Kahawa ? Huenda ni Kati ya Bidhaa za Chakula cha Biashara tunayouza sana nje ; Ila tunauza kama nini Raw Material au Processed Product ?Kwanini hatuuzi sasa hiyo kahawa?
Kahawa ? Huenda ni Kati ya Bidhaa za Chakula cha Biashara tunayouza sana nje ; Ila tunauza kama nini Raw Material au Processed Product ?
Utagundua tunauza kahawa Ghafi..., Kwahio huenda tatizo likawa sio la kujiunga au kutokujinga EPA bali ni adding Value na kuuza finished products (jambo ambalo EPA) haitabadilisha sana sababu hata mkisaini hio mkaamua muanze kuuza processed product manaweza mkaulizwa kuhusu quality au kuwekewe viwango ambavyo hamuwezi kukidhi mkarudi palepale kwenye kuuza mazao ghafi ili yawe processed pengine.., na hapo mtakutana kwenye soko la ndani hio processed brand kutoka huku, kule na kule ambayo huenda ikaua hata wanaojitahidi ku-process hizo bidhaa...
Sikatai Soko Huria ila liwe Fair (sio chako hakina kiwango bali changu ndio kina kiwango)..., hivyo hauna choice zaidi ya kuuza malighafi
Wacheni kumsingizia Prof Kabudi. Hadi leo hii kazi inayofanya haijulikani. Mambo ya ajabu sana yanatokea.Sidhani kama mkataba wa EPA ni generic kuwa size fits all. Uwapo wa akina Prof Kabudi kwenye ofisi ya Rais hizi ndizo kazi zao. Customization to Tanzanian land laws haikwepeki
Wale wenye akili za kijinga wanajua exports ni taa za solar made in Tzn 😁😁😁Pilipili hoho,tangawizi,korosho, karanga,matango, maua na samaki.Kahawa inahitajika sana hasa Nchi za Scandinavia .
Weka link tuone source ya hayo manenoEU wamemshauri aachane na kesi ya Mbowe la sivyo atanyimwa mkwanja, unavyojua tena mama kukaa mwezi bila kukopa anaumwa.
Sidhani kama mkataba wa EPA ni generic kuwa size fits all. Uwapo wa akina Prof Kabudi kwenye ofisi ya Rais hizi ndizo kazi zao. Customization to Tanzanian land laws haikwepeki
Mkuu nenda kafanye kazi uchumi utauona, ila ukizidi kutumia muda wako kutoa stress zako JF, hautakuja kuona uchumi ukipandaWacheni kumsingizia Prof Kabudi. Hadi leo hii kazi inayofanya haijulikani. Mambo ya ajabu sana yanatokea.
Tunaambiwa uchumi unapanda kwa kasi lakini figures hazikubaliani na maneno yao Aibu!
Tanzania Current-Account Deficit Widened in 1st Half | Morningstar
Unapoongea international trade ukamtaja na Magufuli, ninakuwa pissed off. The blood fucking dictator destroyed our economy singlehandedlyEU waits for Tanzania to back up change of heart on stalled trade deal - Euractiv
An Economic Partnership Agreement (EPA) between the EU and six East African countries has been stuck for several years. When President John Magufuli’s Tanzanian government suddenly announced it was reviewing its position on the EPA with a view to endorsing it, EU officials were taken aback.www.euractiv.com
Always read on the dotted lines tangia tumeanza kuingia trade agreements kuna ata moja ambayo inalazimisha kurasimisha itungwe sheria na bunge.
Soma hiyo article uone ni kiasi gani mabeberu yalivyokuwq pissed na Magufuli kuchelewesha hiyo agreement hadi kuzuia misaada.
Mambo mengine yanataka careful consideration sio kukurupuka tu.