Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi na wewe una akili? Unaweza kukaa na wenye akili ukajadiliana nao mambo ya msingi?Nchi imejaa vilaza, mtu ambaye amesoma chuo nje hawezi kuwa msifiaji kijinga hivi, tuangalie mfumo wetu wa elimu, Lucas amezaliwa Chunya certificate amesoma Chuo cha utumishi Tabora, atapata wapi akili?
Embu nijibu swali.je wakisema wenye akili wapite mbele utapita?Endelea kunitafuta wewe mjinga matokeo ake hayatakuwa yakufurahisha upande wako
Kwamba baada ya kupata certificate chuo cha utumishi wa umma Tabora ndiyo unajiona una akili?Hivi na wewe una akili? Unaweza kukaa na wenye akili ukajadiliana nao mambo ya msingi?
Modem umechukua saa ngapi?Embu nijibu swali.je wakisema wenye akili wapite mbele utapita?
Elimu niliyo nayo mimi ni kubwa sana na huwezi kuifikia hata kidogoKwamba baada ya kupata certificate chuo cha utumishi wa umma Tabora ndiyo unajiona una akili?
Jinga wewe ungekuwa PS?Elimu niliyo nayo mimi ni kubwa sana na huwezi kuifikia hata kidogo
Mpuuzi kweli,wakati wa Nyerere watanganyika walikua wanasema afadhali ya mkoloni, Nyerere akawapiga mikwala,tabora walitengeneza nguo kabla mzungu hajatia pia Tanganyika,so harakati za uhuru watu walikua uchi au walivaa ngozi!?.. Nyerere kule butiama mpaka tabora school hakuwa na nguo?! Akina mkwawa walipigana Vita wakiwa uchi au walivaa ngozi!?Nyerere alikuta watu wanatembea matako wazi kabisa na kuvaa ngozi ...hivyo viraka ilikuwa ni hatua ya maendeleo wakati wa waarabu na wakoloni tulikuwa tunatembea uchi kabisa ...wapumbavu wengi kama nyinyi ndiyo mnataka kutudanganya kuwa mkoloni alimkabidhi Nyerere nchi yenye maisha bora kumbe wakati wa mkoloni maisha yalikuwa mabovu kuliko wakati wa Nyerere
Endelea kuropoka ropoka tu maana ndio uwezo wako wa akili ulipoishiaJinga wewe ungekuwa PS?
Mmmmh!Elimu niliyo nayo mimi ni kubwa sana na huwezi kuifikia hata kidogo
Katibu anakuja saa ngapi?Endelea kuropoka ropoka tu maana ndio uwezo wako wa akili ulipoishia
Kama akili yako ni ndogo huwezi ukaelewa. Ni sawa na mtu asiye na akili akiokota dhahabu halafu wewe ukaenda kumbadilishia na kumpatia jiwe linalong'aa na kumwambia ndio dhahabu atashangilia na kufurahia kama zuzu.Mmmmh!
Yana ukweli hayo?? Mbona mara nyingi sana humu mtandaoni umekuwa ukiandika pumba? Hiyo ndio zao la hiyo elimu kubwa unayodai kuwa nayo?
Tanzania kuna marais 2 tu wengine wote hawafai nao ni Nyerere na Magufuli basiMpuuzi kweli,wakati wa Nyerere watanganyika walikua wanasema afadhali ya mkoloni, Nyerere akawapiga mikwala,tabora walitengeneza nguo kabla mzungu hajatia pia Tanganyika,so harakati za uhuru watu walikua uchi au walivaa ngozi!?.. Nyerere kule butiama mpaka tabora school hakuwa na nguo?! Akina mkwawa walipigana Vita wakiwa uchi au walivaa ngozi!?
Acha ujinga wako hapa wewe.Tanzania kuna marais 2 tu wengine wote hawafai nao ni Nyerere na Magufuli basi
Labda Kama unazungumzia udikteta uchwaraTanzania kuna marais 2 tu wengine wote hawafai nao ni Nyerere na Magufuli basi