Rais Samia kutoa Fedha sawa za Magoli kwa Simba SC inayoshiriki CAFCL na Yanga SC inayoshiriki CAFCC si sahihi

Rais Samia kutoa Fedha sawa za Magoli kwa Simba SC inayoshiriki CAFCL na Yanga SC inayoshiriki CAFCC si sahihi

Yaani yanga ingekuwa Caf champions league na simba ingekuwa Caf confederation cup halafu wakapewa hela sawa wote basi yule nguruwe pori angepiga kelele kila siku ila kwasababu anajua sio sawa na alishasema caf confederation cup ni kombe la looser amejikausha kimya kama sio yeye vile.
 
Simba SC inashiriki Kombe la Wanamume wa Shoka na Klabu nyingine inashiriki Kombe la Wadada na Walioshindwa je, iweje leo Wote wapewe Kiasi sawa cha Fedha Shilingi Milioni Tano kwa kila Goli?

Kuipa / Kuwapa Simba SC inayoshiriki CAFCL Shilingi Milioni Tano ni Kututukana na Kutudhalilisha wana Simba SC na nauomba Uongozi wa Simba SC kuanzia sasa uwe Unagomea hizo Fedha za Rais Samia.

Kama kuna Wapuuzi watanibishia na kunikatalia hili wajiulize ni kwanini Wao hawapo CAFCL na wapo Kombe la Losers ( Walioshindwa ) la CAFCC?

Hivi CAF huwa wanatoa Fedha sawa kwa Washindi wa CAFCL na CAFCC? Kama jjbu ni hapana je, GENTAMYCINE nikisema Rais Samia kutoa Fedha za Magoli kwa Simba SC iliyoko CAFCL na Yanga SC walioko CAFCC si sawa nitakuwa nakosea?

Simba SC inayoshiriki CAFCL ipewe na Rais Samia kwa kila Goli Shilingi Milioni 25 na Yanga SC iliyoko CAFCC ndiyo ipewe Shilingi Milioni Tano hiyo kwa kila Goli.

Yaani Goli la Clatous Chota Chama kama lile la Juzi dhidi ya Vipers FC ulinunue kwa Shilingi Milioni Tano kweli?

Acheni Kutukera na Kutudhalilisha wenye Akili na wana Simba SC sawa? Nasubiri sasa Mapovu yenu.

Imeisha hiyo......!!!!!
anachofanya mama sio cha lazima ni cha hiari,wanachofanya CAF ni cha lazima na sio hiari...sasa kumpangia mtu anayefanya vitu kwa hiari huo ni UAFANDE WA KIZANZIBARI
 
Huyu sasa ndo goal machine,sawa mtoto mdogo,sku nyingine usije kusema ujinga wako mbele ya wababa watu wazimaView attachment 2544402
Umechelewa wapi kujua kuwa huyo Unayemjibu ni International Certified Fool hapa Jamvini?

Ukiona tu GENTAMYCINE namdharau Mtu hapa jua hana Akili hivyo usipoteze nae muda au asikupotezee muda wako kamwe sawa?
 
Pambanane na sio kutegemea viti maalumu kwa hiyo mh Rais angesema mpewe milioni 50 mngewafunga Casablanca goli ngapi au Horoya.

Pambana na sio kutegemea kitonga umeandika ujinga mbona nimeona aibu mimi
 
Pambanane na sio kutegemea viti maalumu kwa hiyo mh Rais angesema mpewe milioni 50 mngewafunga Casablanca goli ngapi au Horoya.

Pambana na sio kutegemea kitonga umeandika ujinga mbona nimeona aibu mimi
Kwani Wewe umeshawahi Kumiliki Akili?
 
Simba SC inashiriki Kombe la Wanamume wa Shoka na Klabu nyingine inashiriki Kombe la Wadada na Walioshindwa je, iweje leo Wote wapewe Kiasi sawa cha Fedha Shilingi Milioni Tano kwa kila Goli?

Kuipa / Kuwapa Simba SC inayoshiriki CAFCL Shilingi Milioni Tano ni Kututukana na Kutudhalilisha wana Simba SC na nauomba Uongozi wa Simba SC kuanzia sasa uwe Unagomea hizo Fedha za Rais Samia.

Kama kuna Wapuuzi watanibishia na kunikatalia hili wajiulize ni kwanini Wao hawapo CAFCL na wapo Kombe la Losers ( Walioshindwa ) la CAFCC?

Hivi CAF huwa wanatoa Fedha sawa kwa Washindi wa CAFCL na CAFCC? Kama jjbu ni hapana je, GENTAMYCINE nikisema Rais Samia kutoa Fedha za Magoli kwa Simba SC iliyoko CAFCL na Yanga SC walioko CAFCC si sawa nitakuwa nakosea?

Simba SC inayoshiriki CAFCL ipewe na Rais Samia kwa kila Goli Shilingi Milioni 25 na Yanga SC iliyoko CAFCC ndiyo ipewe Shilingi Milioni Tano hiyo kwa kila Goli.

Yaani Goli la Clatous Chota Chama kama lile la Juzi dhidi ya Vipers FC ulinunue kwa Shilingi Milioni Tano kweli?

Acheni Kutukera na Kutudhalilisha wenye Akili na wana Simba SC sawa? Nasubiri sasa Mapovu yenu.

Imeisha hiyo......!!!!!
toa zako utenganishe
 
Simba SC inashiriki Kombe la Wanamume wa Shoka na Klabu nyingine inashiriki Kombe la Wadada na Walioshindwa je, iweje leo Wote wapewe Kiasi sawa cha Fedha Shilingi Milioni Tano kwa kila Goli?

Kuipa / Kuwapa Simba SC inayoshiriki CAFCL Shilingi Milioni Tano ni Kututukana na Kutudhalilisha wana Simba SC na nauomba Uongozi wa Simba SC kuanzia sasa uwe Unagomea hizo Fedha za Rais Samia.

Kama kuna Wapuuzi watanibishia na kunikatalia hili wajiulize ni kwanini Wao hawapo CAFCL na wapo Kombe la Losers ( Walioshindwa ) la CAFCC?

Hivi CAF huwa wanatoa Fedha sawa kwa Washindi wa CAFCL na CAFCC? Kama jjbu ni hapana je, GENTAMYCINE nikisema Rais Samia kutoa Fedha za Magoli kwa Simba SC iliyoko CAFCL na Yanga SC walioko CAFCC si sawa nitakuwa nakosea?

Simba SC inayoshiriki CAFCL ipewe na Rais Samia kwa kila Goli Shilingi Milioni 25 na Yanga SC iliyoko CAFCC ndiyo ipewe Shilingi Milioni Tano hiyo kwa kila Goli.

Yaani Goli la Clatous Chota Chama kama lile la Juzi dhidi ya Vipers FC ulinunue kwa Shilingi Milioni Tano kweli?

Acheni Kutukera na Kutudhalilisha wenye Akili na wana Simba SC sawa? Nasubiri sasa Mapovu yenu.

Imeisha hiyo......!!!!!
Kama shirikisho kwepesi mbona mlitumia uchawi pale kwa madiba ?

Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
 
Simba SC inashiriki Kombe la Wanamume wa Shoka na Klabu nyingine inashiriki Kombe la Wadada na Walioshindwa je, iweje leo Wote wapewe Kiasi sawa cha Fedha Shilingi Milioni Tano kwa kila Goli?

Kuipa / Kuwapa Simba SC inayoshiriki CAFCL Shilingi Milioni Tano ni Kututukana na Kutudhalilisha wana Simba SC na nauomba Uongozi wa Simba SC kuanzia sasa uwe Unagomea hizo Fedha za Rais Samia.

Kama kuna Wapuuzi watanibishia na kunikatalia hili wajiulize ni kwanini Wao hawapo CAFCL na wapo Kombe la Losers ( Walioshindwa ) la CAFCC?

Hivi CAF huwa wanatoa Fedha sawa kwa Washindi wa CAFCL na CAFCC? Kama jjbu ni hapana je, GENTAMYCINE nikisema Rais Samia kutoa Fedha za Magoli kwa Simba SC iliyoko CAFCL na Yanga SC walioko CAFCC si sawa nitakuwa nakosea?

Simba SC inayoshiriki CAFCL ipewe na Rais Samia kwa kila Goli Shilingi Milioni 25 na Yanga SC iliyoko CAFCC ndiyo ipewe Shilingi Milioni Tano hiyo kwa kila Goli.

Yaani Goli la Clatous Chota Chama kama lile la Juzi dhidi ya Vipers FC ulinunue kwa Shilingi Milioni Tano kweli?

Acheni Kutukera na Kutudhalilisha wenye Akili na wana Simba SC sawa? Nasubiri sasa Mapovu yenu.

Imeisha hiyo......!!!!!

Hv Goli bora la msimu CAF la P. Sakho lilifungwa Champions league au Confederation Cup?
 
Nikisema JF wamejaa Wagonjwa wa Afya ya Akili huwa mnakataa...Haya huyu nae aende Room no.9 na kumuona Daktari ni 10k pale
 
Simba SC inashiriki Kombe la Wanamume wa Shoka na Klabu nyingine inashiriki Kombe la Wadada na Walioshindwa je, iweje leo Wote wapewe Kiasi sawa cha Fedha Shilingi Milioni Tano kwa kila Goli?

Kuipa / Kuwapa Simba SC inayoshiriki CAFCL Shilingi Milioni Tano ni Kututukana na Kutudhalilisha wana Simba SC na nauomba Uongozi wa Simba SC kuanzia sasa uwe Unagomea hizo Fedha za Rais Samia.

Kama kuna Wapuuzi watanibishia na kunikatalia hili wajiulize ni kwanini Wao hawapo CAFCL na wapo Kombe la Losers ( Walioshindwa ) la CAFCC?

Hivi CAF huwa wanatoa Fedha sawa kwa Washindi wa CAFCL na CAFCC? Kama jjbu ni hapana je, GENTAMYCINE nikisema Rais Samia kutoa Fedha za Magoli kwa Simba SC iliyoko CAFCL na Yanga SC walioko CAFCC si sawa nitakuwa nakosea?

Simba SC inayoshiriki CAFCL ipewe na Rais Samia kwa kila Goli Shilingi Milioni 25 na Yanga SC iliyoko CAFCC ndiyo ipewe Shilingi Milioni Tano hiyo kwa kila Goli.

Yaani Goli la Clatous Chota Chama kama lile la Juzi dhidi ya Vipers FC ulinunue kwa Shilingi Milioni Tano kweli?

Acheni Kutukera na Kutudhalilisha wenye Akili na wana Simba SC sawa? Nasubiri sasa Mapovu yenu.

Imeisha hiyo......!!!!!
Weka za kwako
 
Kwani mama anatoa hela kama zawadi au ni hamasa ili timu zetu ziweze kufanya vizuri michuano ya kimataifa, mngekuwa mmefunga goli nyingi kuliko yanga wala haya tusingeyasikia
 
Back
Top Bottom