Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Shukrani kwa kutufumbua macho.
Sasa olewao wanaoendekeza kwenda kwenye mikesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani kwa kutufumbua macho.
Kugawa mikoa vipandevipande ni njia mojawapo ya kuwatafutia ajira ndugu zao huku sisi walala hoi tukiambiwa hakuna ajiraRais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Akifanya Chettle Mkoa Sawa Sawa Tu, Baadaye Tunajua
Kuna Hii Mikoa Nayo Inataka Igawanye
Morogoro, Tanga, Mwanza, Kigoma, Ruvuma
Nchi Kila Uchao Ni Kugawa Vipande Vya Ardhi Watu Watawale Tu
Sidhani kama kuna ubaya ukikataa kabisa kulazimishwa kuabudu miungu watuHivi huu mwenge una kitu gani hasa? ina maana nchi haiwezi kwenda bila kukimbiza moto jambo linaloashiria kufanya ibada kwa miungu ya kale.....kwa nini ambao hatuamini miungu tunalazimishwa kushiriki ibada za kimiungu na laana zake?
Bila kuiondoa ccm madarakani tutaendelea kulalama kila uchao.Ni upuuzi tu kwani kile kijiji cha chattle kina nini hasa cha maana , mnaacha kufanya mambo ya msingi mnahangaika na mikoa sijui wilaya sijui kuongeza takataka gani wakati hata maji ya kunywa wananchi na mifugo yanatushinda woote tunakunywa kwenye dimbwi moja, kuna laana fulani inawatafuna viongozi. UBINAFSI ni kitu kibaya sana take it
Sherehe za wachawi zina mwisho mbaya sana, neno la Mungu kwenye kitabu cha Isaiah 50:11 linasema wale wote wanaokimbiza mwenge watalala kwa huzuni.
Mwanza??? HowRais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Akifanya Chettle Mkoa Sawa Sawa Tu, Baadaye Tunajua
Kuna Hii Mikoa Nayo Inataka Igawanye
Morogoro, Tanga, Mwanza, Kigoma, Ruvuma
Nchi Kila Uchao Ni Kugawa Vipande Vya Ardhi Watu Watawale Tu
Mwanza??? How
GEITA ni mkoa kitambo tuu.
Au wamaanisha kijiji cha Chato?!!!
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
Akifanya Chettle Mkoa Sawa Sawa Tu, Baadaye Tunajua
Kuna Hii Mikoa Nayo Inataka Igawanye
Morogoro, Tanga, Mwanza, Kigoma, Ruvuma
Nchi Kila Uchao Ni Kugawa Vipande Vya Ardhi Watu Watawale Tu
Huo uwanja wa ndege tu sasa hivi wanafaidi wavuvi wa dagaa tuChato kuwa mkoa mpya ni nzuri ila wataipa management ya mkoa kazi kubwa sana kujiendesha .
Unless otherwise iwe inaendeshwa na serikali kuu .
Huyo mwanza haijui saizi ndo mkoa mdogo kieneo wa pili baada ya Dar es salaam! Mwanza imezaa geita na simiyu kwa baadhi ya maeneo!Mwanza??? How
Lazima utangazwe niamini mimi na uscreenshot hii smsThubuuutuuuuu yaani nyinyi mbona mnamchukulia poa sana huyu mama?
Eti niamini mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe ni nani ndani ya nchi hii?Lazima utangazwe niamini mimi na uscreenshot hii sms
Basi kachaji simu imeisha
Basi kachaji simu imeisha
Kumbe ni mchawi![]()
IJUE HISTORIA YA MWENGE
habaritanzaniagracemacha.blogspot.com