N nyakubonga JF-Expert Member Joined Apr 5, 2015 Posts 5,960 Reaction score 9,978 Oct 7, 2021 #61 Hamatan said: Ukiwa mkoa ndiyo utapata maji kwa karibu? Click to expand... kinachoongelewa hapa ni huduma za kiutawala, hizo huduma za maji wamesema hawana?
Hamatan said: Ukiwa mkoa ndiyo utapata maji kwa karibu? Click to expand... kinachoongelewa hapa ni huduma za kiutawala, hizo huduma za maji wamesema hawana?
N nyakubonga JF-Expert Member Joined Apr 5, 2015 Posts 5,960 Reaction score 9,978 Oct 7, 2021 #62 Janjaweed said: This was unnecessary mkuu Click to expand... huyo ni mwehu.
U uncle JF-Expert Member Joined Dec 10, 2007 Posts 325 Reaction score 184 Oct 14, 2021 #63 Hakika Leo ndio nimeona umuhimu wa mbio za mwenge. Uendelee
The Khoisan JF-Expert Member Joined Jun 5, 2007 Posts 16,434 Reaction score 14,547 Oct 14, 2021 #64 Watu8 said: Hivi kumbe huwa kuna sherehe za kuzima mwenge? Sikuwahi kujua hili Click to expand... Kila awamu ina mbinu zake za propaganda..... Awamu hii wanachanganyachanganya bora mambo yaende na siku ziende.
Watu8 said: Hivi kumbe huwa kuna sherehe za kuzima mwenge? Sikuwahi kujua hili Click to expand... Kila awamu ina mbinu zake za propaganda..... Awamu hii wanachanganyachanganya bora mambo yaende na siku ziende.
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Aug 11, 2022 #65 Yaliyomo Yamo