Rais Samia kuyaaga mashindano kwenye kinyang'anyiro cha Urais? Kakosea na kumuita waziri Mh. Rais, apata kigugumizi

Rais Samia kuyaaga mashindano kwenye kinyang'anyiro cha Urais? Kakosea na kumuita waziri Mh. Rais, apata kigugumizi

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Chawa wa mama salamaaa?

Bwana Rais Samia akakosea kumuita waziri na kumuita Mh. Rais wakati anahutubia baada ya kuweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa mradi wa maji, Mkinga-Tanga.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Sijawahi msikia Rais Samia akikosea hili hata mara moja, yaami mpaka ameweweseka kidogo kwa muda.

Kumbe moyoni anajua kabisa ameshayaaga mashindano mpaka subconscious automatically imemwambia sikia, wewe siyo Rais bana, safari hii mwingine atachukua kijiti na mkicheza vibaya wapinzani wanabeba ndoo😂😂😂


Chawa ukija na povu hakikisha umejipanga, usije ukafa kwa presha😂
 
Mkuu una imani kuBwa katika miujiza. Hivi kweli unaamini huyu mama atashindwa uchaguzi au unaamini hatagombea?
Hii imani yako ni ile ya kuambia mlima kilimanjaro ukajitose baharini.
Chawa wa mama salamaaa?

Bwana Rais Samia akakosea kumuita waziri na kumuita Mh. Rais wakati anahutubia baada ya kuweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa mradi wa maji, Mkinga-Tanga.

Sijawahi msikia Rais Samia akikosea hili hata mara moja, yaami mpaka ameweweseka kidogo kwa muda.

Kumbe moyoni anajua kabisa ameshayaaga mashindano mpaka subconscious automatically imemwambia sikia, wewe siyo Rais bana, safari hii mwingine atachukua kijiti na mkicheza vibaya wapinzani wanabeba ndoo😂😂😂

 
Chawa wa mama salamaaa?

Bwana Rais Samia akakosea kumuita waziri na kumuita Mh. Rais wakati anahutubia baada ya kuweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa mradi wa maji, Mkinga-Tanga.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Sijawahi msikia Rais Samia akikosea hili hata mara moja, yaami mpaka ameweweseka kidogo kwa muda.

Kumbe moyoni anajua kabisa ameshayaaga mashindano mpaka subconscious automatically imemwambia sikia, wewe siyo Rais bana, safari hii mwingine atachukua kijiti na mkicheza vibaya wapinzani wanabeba ndoo😂😂😂

Chawa ukija na povu hakikisha umejipanga, usije ukafa kwa presha😂
Mpaka oktoba tutaona mengi
 
Chawa wa mama salamaaa?

Bwana Rais Samia akakosea kumuita waziri na kumuita Mh. Rais wakati anahutubia baada ya kuweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa mradi wa maji, Mkinga-Tanga.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Sijawahi msikia Rais Samia akikosea hili hata mara moja, yaami mpaka ameweweseka kidogo kwa muda.

Kumbe moyoni anajua kabisa ameshayaaga mashindano mpaka subconscious automatically imemwambia sikia, wewe siyo Rais bana, safari hii mwingine atachukua kijiti na mkicheza vibaya wapinzani wanabeba ndoo😂😂😂

Chawa ukija na povu hakikisha umejipanga, usije ukafa kwa presha😂
maskini dah!

kujipa moyo kwingine hadi kunakukatisha tamaa wewe mwenyewe 🐒
 
Ulimi kukosea /kuteleza kukakufanya uanzishe uzi kabisa!, hoja za Chadema huwa ni za kitoto sana.
Kila mkipigwa na msumari wa moto basi ni CHADEMA? Mama anajua kutoka moyoni kabisa (kwa sauti ya Magu) kuwa Oktoba hatoboi.... wale wavaa magwanda wakiamka kutoka usingzini waache kutumiwa ovyo ndio kabisa wataenda kuwa wakimbizi kama akina Lema kipindi kile 😂 maana kila sehemu wameharibu
 
Naona hata voice of America wameweka picha ya mbowe na wanamuita opposition leader kutoka chadema, wakati chechemela yupo,kukosea ni kawaida.

Screenshot_20250227-165539.jpg
 
Chawa wa mama salamaaa?

Bwana Rais Samia akakosea kumuita waziri na kumuita Mh. Rais wakati anahutubia baada ya kuweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa mradi wa maji, Mkinga-Tanga.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Sijawahi msikia Rais Samia akikosea hili hata mara moja, yaami mpaka ameweweseka kidogo kwa muda.

Kumbe moyoni anajua kabisa ameshayaaga mashindano mpaka subconscious automatically imemwambia sikia, wewe siyo Rais bana, safari hii mwingine atachukua kijiti na mkicheza vibaya wapinzani wanabeba ndoo😂😂😂

Chawa ukija na povu hakikisha umejipanga, usije ukafa kwa presha😂
🤣🤣🤣

samia ndoto anazoota zilisha mwonesha kwamba urais wake mwisho ni Oktoba 2025. Kukosea kusema hivyo haijatokea kwa bahati mbaya, kwenye ulimwengu wa roho alishaonyeshwa kitu.
 
Back
Top Bottom