BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
Zimetumika kwa baba yakoSawa bil 18 zimetumika hapo.
Imekuingia vizuri naona vumilia tu ndiyo dawa hiyo licha yakuwa ni chungu.Zimetumika kwa baba yako
Ngoja na hii iniingie vizuri,VP na mradi wa bil.41 ,awamu hii hatuna hiyana wala hatutafuti sifa kama awamu ya washamba πImekuingia vizuri naona vumilia tu ndiyo dawa hiyo licha yakuwa ni chungu.
Sasa hoja yako ni ipi?nina mke lakini?Ngoja na hii iniingie vizuri,VP na mradi wa bil.41 ,awamu hii hatuna hiyana wala hatutafuti sifa kama awamu ya washamba π
View attachment 2159355
View attachment 2159356
Chalinze kwa kijana wake,basi ni vizuri.