Pre GE2025 Rais Samia kuzindua mradi wa maji wa bilioni 300 Kilimanjaro

Pre GE2025 Rais Samia kuzindua mradi wa maji wa bilioni 300 Kilimanjaro

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema kuwa, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwasili mkoani humo Machi 9 mwaka huu ambapo atazindua mradi wa maji Same - Mwanga - Korogwe na badae atafanya mkutano wa hadhara na kuzungumza na wananchi katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema mbali na mkutano huo wa hadhara, Rais atapita Kwa sadala, Kiboroloni, njia panda ya himo wilayani Moshi wakati akielekea Mwanga.

Babu amesema kuwa, mradi huo wa maji ambao kwa awamu ya kwanza umetumia zaidi ya shilingi Bilioni 300 umeanza kuwanufaisha wananchi wa wilaya ya Mwanga na Same.

 
Huo ukanda umenufaika sana na keki ya nchi hii..

Mradi badala uende Shinyanga vijijini huko wapange safu ya mabomba makubwa kutoka Ziwa victoria, watu wa shinyanga wangenufaika sana
 
Huo ukanda umenufaika sana na keki ya nchi hii..

Mradi badala uende Shinyanga vijijini huko wapange safu ya mabomba makubwa kutoka Ziwa victoria, watu wa shinyanga wangenufaika sana
Kilimanjaro si moshi tu, huko mwanga sijui same hakuna utofauti na shinyanga kivile.
 
Huo ukanda umenufaika sana na keki ya nchi hii..

Mradi badala uende Shinyanga vijijini huko wapange safu ya mabomba makubwa kutoka Ziwa victoria, watu wa shinyanga wangenufaika sana
Tumenufaisha nchi pia! Wasomi wengi na elimu kwa ujumla, utalii na chakula!!
Wachatupewe
 
Huo ukanda umenufaika sana na keki ya nchi hii..

Mradi badala uende Shinyanga vijijini huko wapange safu ya mabomba makubwa kutoka Ziwa victoria, watu wa shinyanga wangenufaika sana
Hii ni hujuma CCM wanafanya Kilimanjaro, huko Tanga rais amekaa wiki nzima na amefungua miradi zaidi ya 12 mikubwa, halafu Kilimanjaro anafungua mradi mmoja tu na ziara ya masaa 6 tu! Hakuna wakati Samia amefanya ziara K"Njaro kwa zaidi ya siku 1.
 
Huo ukanda umenufaika sana na keki ya nchi hii..

Mradi badala uende Shinyanga vijijini huko wapange safu ya mabomba makubwa kutoka Ziwa victoria, watu wa shinyanga wangenufaika sana

..Shinyanga nako kuna mradi wa maji unajengwa.
 
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema kuwa, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwasili mkoani humo Machi 9 mwaka huu ambapo atazindua mradi wa maji Same - Mwanga - Korogwe na badae atafanya mkutano wa hadhara na kuzungumza na wananchi katika viwanja vya CD Msuya wilayani Mwanga.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema mbali na mkutano huo wa hadhara, Rais atapita Kwa sadala, Kiboroloni, njia panda ya himo wilayani Moshi wakati akielekea Mwanga.

Babu amesema kuwa, mradi huo wa maji ambao kwa awamu ya kwanza umetumia zaidi ya shilingi Bilioni 300 umeanza kuwanufaisha wananchi wa wilaya ya Mwanga na Same.

Ni mradi wa miaka mingi sana toka enzi za JK waziri akiwa prof Maghembe. Kuanzia Hedaru mpaka Mwanga ni pakame sana na kuna shida kubwa ya maji.
 
Back
Top Bottom