mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Maana nchi hii issue zote za maana zikiletwa[emoji1787]
Utasikia wasanii wapo alafu wao ndy wanatamba hapo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana nchi hii issue zote za maana zikiletwa[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maana nchi hii issue zote za maana zikiletwa
Utasikia wasanii wapo alafu wao ndy wanatamba hapo
Ova
Maana nchi sahv watu wanaonekana wanachamoto sana ni wasaniii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dadeeeeeki gonga Bapa nakuja kulipa Mpwa, huu msumari babkubwaHajasema rais siyo binadamu. Amesema rais asiongee kama binadamu mjinga.
Mrangi unanivunja mbavu mno kwa comments zako[emoji1787][emoji1787]Maana nchi sahv watu wanaonekana wanachamoto sana ni wasaniii
Wao ndiyo wanapiganiwa kuliko wakulima,wafanyakazi etc
Ova
Wasanii ndy wanaonekana wao ndy wanachamoto kuliko wengineMrangi unanivunja mbavu mno kwa comments zako[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wasanii ndy wanaonekana wao ndy wanachamoto kuliko wengine
Kila kitu wasanii wasanii
Ova
🙄🙄🙄 Wakati ule tulimsihi Magu asome hotuba badala ya kuropoka , Sasa Hangaya achukue ushauri huoHajasema rais siyo binadamu. Amesema rais asiongee kama binadamu mjinga.
[emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]Tango la mtu mbadi, mtu mbaya, Kondeboy mnyama linaanza kunyemelewa pia na high command [emoji4] DJ walete wote wenye vitambi
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji2]Mama Samia u deh blasti ma mendula!
Hata hao uliowataja huenda ni wasanii ...😂😂😂...Maana nchi sahv watu wanaonekana wanachamoto sana ni wasaniii
Wao ndiyo wanapiganiwa kuliko wakulima,wafanyakazi etc
Ova
Mama katumia fasihi pia. Kifua ni mahali pa kumeza vitu hata vigumu. Kama ni kweli Jeshi kafanyiwa hata nusu ya Yale aliyofunguka, basi ana kifua.
Mlezi wa wana kama shishiMama katumia fasihi pia. Kifua ni mahali pa kumeza vitu hata vigumu. Kama ni kweli Jeshi kafanyiwa hata nusu ya Yale aliyofunguka, basi ana kifua.
@Evelyn SaltTango la mtu mbadi, mtu mbaya, Kondeboy mnyama linaanza kunyemelewa pia na high command [emoji4] DJ walete wote wenye vitambi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani leo Daimondi na Salaam sk hawatalala