Rais Samia: Kwa kifua kile cha Harmo kweli yeye ni Tembo

Post Number #7 natamani Like na Quote ila mh.
 
Tango la mtu mbadi, mtu mbaya, Kondeboy mnyama linaanza kunyemelewa pia na high command [emoji4] DJ walete wote wenye vitambi
[emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Maana nchi sahv watu wanaonekana wanachamoto sana ni wasaniii
Wao ndiyo wanapiganiwa kuliko wakulima,wafanyakazi etc

Ova
Hata hao uliowataja huenda ni wasanii ...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚...
 
Mama katumia fasihi pia. Kifua ni mahali pa kumeza vitu hata vigumu. Kama ni kweli Jeshi kafanyiwa hata nusu ya Yale aliyofunguka, basi ana kifua.

Exactly! wachache sana wameng'amua hii kitu.
 
Duu sie wenye vifua vya mijusi labda tutaonekana awamu ijayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…