Rais Samia: Kwa kifua kile cha Harmo kweli yeye ni Tembo

Mama katumia fasihi pia. Kifua ni mahali pa kumeza vitu hata vigumu. Kama ni kweli Jeshi kafanyiwa hata nusu ya Yale aliyofunguka, basi ana kifua.
Unafeli. Kwamaana hiyo uliyoitoa, hakutakiwa kuongea lolote. Kuambiwa una kifua maana yake unauwezo wa kunyamaza mahali ambapo asiye na kifua angezungumza
 
Kwani kale kavideo ka hamo akimjegeja pau kalimfikia na bi mkubwa? Km alikapata, nani alimpa koneksheni?!

Maana huku kusifia sio kwa nchi hii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…