Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Jo mimi ninaamini hakuna mtu ambaye anaweza kukudharau na kukupangia mambo yako kama wewe mwenyewe hupendi kupangiwa......
Tanzania ni nchi huru na tunawakumbusha tu marafiki zetu wote kuwa uhusiano mwema ni "politeness" na si "order ".
Wazungu ,wachina ,wajapani na waarabu ni marafiki zetu katika ubinadamu na katika maendeleo 😍
#Tanzania kwanza 😍
Tanzania ni nchi huru na tunawakumbusha tu marafiki zetu wote kuwa uhusiano mwema ni "politeness" na si "order ".
Wazungu ,wachina ,wajapani na waarabu ni marafiki zetu katika ubinadamu na katika maendeleo 😍
#Tanzania kwanza 😍