Pre GE2025 Rais Samia kwanini wengi wanaokutaka uendelee kuwa Rais wakiwa na hali fulani huoneshi kuwafurahia?

Pre GE2025 Rais Samia kwanini wengi wanaokutaka uendelee kuwa Rais wakiwa na hali fulani huoneshi kuwafurahia?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa wale Matomaso ( Wabishi wa Kuelewa daima ) mkitaka kuliona hili tafadhali tafuteni Clip ya Msigwa alipokuwa akijiunga rasmi na CCM pale Ikulu / CCM Lumumba na zile Hafla mbili za nyuma za Wanawake kisha tulizeni Kiumakini Mimacho yenu mtizameni Mama ( Rais ) hasa katika Body Language yake kisha mtarejea hapa na Kunielewa vyema GENTAMYCINE na hiki nilichokiuliza au nilichokiwasilisha hapa.

Rais Samia Suluhu yuko hapa JF na tuko nae sana tu japo wengi hawajamshtukia hivyo naamini atakuja Kunijibu hili.
Mtumie text
 
Sipo Uganda na siwezi kuwa huko ila Wewe na Yeye ndiyo mnaweza kuwa huko kwani nyie ndiyo mmeandikiwa Kusafiri.
Untitled.jpg
 
Sasa akionesha kufurahishwa ni hili simtamuona mlafi wa madaraka lazima aoneshe kwamba kama hataki na kushangaa au kutofurahishwa ila ndani ya moyo anashangilia .Au hujaona mtu anakaribishwa chakula anasema asante nimeshiba unafiri ana maanisha kwamba ameshiba la hasha bali ni kwamba akikubali haraka haraka utaonekana mlafi au chokaa mbaya, huna lolote kilicho kuleta hapo ni njaa watu wanaweza kukuzarau.
 
Back
Top Bottom