Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Haya yote yanayoendelea nadhani tunayaona na hii itoshe kusema CCM hawana nia tena na kuongoza nchi.
Mmeongeza Kodi sawa, ndio iwe mara mbili? Ongezeko la 100% tena kwa kipindi hiki? HAPANA
Mama hii ni Kodi ya dhulma, haikubaliki. Watanzania wengi wamejiajiri kwenye kilimo lakini napo umeamua kuongeza kodi mara mbili kwenye mbolea.
Kweli tutaisoma namba, sasa hivi kila kitu beini mara mbili ukiuliza unaambiwa kodi mpya. Tutakoma.
Wale wakulima wenzangu kazi tunayo
Nilitegemea mama katika jitihada zako za kukuza uchumi basi ungepunguza haya makodi hasahasa kwenye sekta ya kilimo, Ila imekuwa vice versa
Mmeongeza Kodi sawa, ndio iwe mara mbili? Ongezeko la 100% tena kwa kipindi hiki? HAPANA
Mama hii ni Kodi ya dhulma, haikubaliki. Watanzania wengi wamejiajiri kwenye kilimo lakini napo umeamua kuongeza kodi mara mbili kwenye mbolea.
Kweli tutaisoma namba, sasa hivi kila kitu beini mara mbili ukiuliza unaambiwa kodi mpya. Tutakoma.
Wale wakulima wenzangu kazi tunayo
Nilitegemea mama katika jitihada zako za kukuza uchumi basi ungepunguza haya makodi hasahasa kwenye sekta ya kilimo, Ila imekuwa vice versa