Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
Mitano tena kwao na Wabunge walipwe kwa Dola maana wanatetea sana wanyonge tena mishahara yao haitoshi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani...! we acha tuNajua umewaza Ile stimu nyingine
[emoji26]atanunua Nani Kama pesa yenyewe hamna.Wakati bei ya mbolea inapanda bei ya mazao kama mahindi inaporomoka! Huku Rukwa vijijini bei ya gunia moja la mahindi kilo 100 ni Sh. 25,000/=
Tutaisha aseeHatari Moja sasa
Tena ziongezwe haswa mpka watu tupate akiliTutakoma, watu wakiambiwa tudai katiba mpya ubishi tu
Natamani wangeongezewa hata mara mbili ya ilivyo Sasa ili ni thibitishe uzalendo waliokuwa nao,au ni umbumbumbu kwa mgongo wa uzalendo.Achana na kodi ya miamala ya simu. Kuna kodi ya pembejeo ambayo kelele zake hazijasikika. Serikali imepandisha kodi ya pembejeo za kilimo ili kukomoa wakulima. Mbolea ya kupandia mazao aina ya DAP imeongezeka bei kutoka 52,000= hadi 92,000/= Mbolea za kukuzia Mf.UREA kutoka 48,000/=na sasa ni 80,000/= na CAN kutoka 40,000-60,000/=...
Mimi niliwaambia watu watamchoka haraka sana. Lakini ndiyo vizuri ili wabongolala waamke.Hatari sn huyu bibi tukiendelea kumchekea atatumaliza aisee
Kuwa na katiba ambayo watu hawaifati ni kutwanga maji kwenye kitu katiba hii yasasa bado haifuatwiTutakoma, watu wakiambiwa tudai katiba mpya ubishi tu
Katiba na tume huru ya uchaguzi zinahitajika haraka snMimi niliwaambia watu watamchoka haraka sana. Lakini ndiyo vizuri ili wabongolala waamke.
Well saidHuko ambako serikali inaheshimu matakwa ya umma, siyo kwa sababu viongozi walikuwa watakatifu bali wananchi walikataa kata kata kuburuzwa...
hatari sana mkuuPembejeo zinapanda, uku Bei ya mazao inazidi kushuka.
Kwasasa kilo ya mchele mikoani (bonde la kilombero) imefikia 500 sh kwa kilo[emoji3525]
Sijajua Ni mnyonge gani serikali inayojinasibu kumsaidia[emoji20]