Kukomoa wananchiHivi hawa wapitisha budget huwa wanamwakilisha nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukomoa wananchiHivi hawa wapitisha budget huwa wanamwakilisha nani?
Tar tiiibu ng'ombe wanarudi zizini sasa.....Mtanikumbuka Kwa Mazuri na si kwa Mabaya by Hayati Magufuli
Ww ndio ulimuombea mabaya Magu....Achana na kodi ya miamala ya simu. Kuna kodi ya pembejeo ambayo kelele zake hazijasikika. Serikali imepandisha kodi ya pembejeo za kilimo ili kukomoa wakulima. Mbolea ya kupandia mazao aina ya DAP imeongezeka bei kutoka 52,000= hadi 92,000/= Mbolea za kukuzia Mf.UREA kutoka 48,000/=na sasa ni 80,000/= na CAN kutoka 40,000-60,000/=
Bunge la CCM limebariki wakijua hamna kitu cha kuwafanya, mpo mpo tu maana wamewafanya mengi mkibaki mpo mpo tu.
Pengine ongezeko hili litawafundisha wakulima, wafanyabiashara na wafanyakazi wao ni nani?! Siku mkijitambua hamtafanyiwa mambo ya hovyo kama haya.
Kwani mama hana maarifa ya kuongoza Cheki hili punguaniSukuma gang wameamua wamuharibie mama
Hakuna anayekataa mhlipa kodi. Wanapinga kodi isoyolipika, inayoumizaWananchi wa marekani na nchi za ulaya zinawasikia Watanzania kuwa hawataki kulipa kodi eti wanataka wasaidiwe.
Aisee!
Ngoja wanachi wenzetu watusikie! Sijui watatuonaje, kweli tumekomaa au tulidekezwa mpaka ukubwani?
Hahahahahhahaha inapoelekea kilo itafika tsh.50 kama mbaziBei ya mahindi sasa ndio kichekesho huku kwetu kilo 1 = 250
Huyo ndiyo kipenzi cha watu na kodi ya dhuluma.Haya yote yanayoendelea nadhani tunayaona na hii itoshe kusema CCM hawana nia tena na kuongoza nchi.
Mmeongeza Kodi sawa, ndio iwe mara mbili? Ongezeko la 100% tena kwa kipindi hiki? HAPANA
Mama hii ni Kodi ya dhulma, haikubaliki. Watanzania wengi wamejiajiri kwenye kilimo lakini napo umeamua kuongeza kodi mara mbili kwenye mbolea.
Kweli tutaisoma namba, sasa hivi kila kitu beini mara mbili ukiuliza unaambiwa kodi mpya. Tutakoma.
Wale wakulima wenzangu kazi tunayo
Nilitegemea mama katika jitihada zako za kukuza uchumi basi ungepunguza haya makodi hasahasa kwenye sekta ya kilimo, Ila imekuwa vice versa
HahahahaKuna likikundi la watu flani limekamata usukani wa Nchi na mama kaachiwa azunguke hovyo na Dreamliner. Hopeless kabisa.
Hahahaha [emoji23]Sukuma gang wameamua wamuharibie mama
Kesho wamemtuma Burundi.... hahahahaaaaKuna likikundi la watu flani limekamata usukani wa Nchi na mama kaachiwa azunguke hovyo na Dreamliner. Hopeless kabisa.
Hakuna cha maskini wala nini mimi naunga mkono hizi tozo kila mtu alipeTulilalamika mwendazake anaharibu uchumi Kwa kuwabana matajiri walipe Kodi, Sasa mama anataka wote tulipe kodi bado tunalalama. Mnataka Kodi alipe nani?
Mama ongeza kuupiga mwingi!
wee unazani huyo samia asipokusanya kodi atakula nini na vibaraka wake? na maisha ya gharama watayatolea wapi?Haya yote yanayoendelea nadhani tunayaona na hii itoshe kusema CCM hawana nia tena na kuongoza nchi.
Mmeongeza Kodi sawa, ndio iwe mara mbili? Ongezeko la 100% tena kwa kipindi hiki? HAPANA
Mama hii ni Kodi ya dhulma, haikubaliki. Watanzania wengi wamejiajiri kwenye kilimo lakini napo umeamua kuongeza kodi mara mbili kwenye mbolea.
Kweli tutaisoma namba, sasa hivi kila kitu beini mara mbili ukiuliza unaambiwa kodi mpya. Tutakoma.
Wale wakulima wenzangu kazi tunayo
Nilitegemea mama katika jitihada zako za kukuza uchumi basi ungepunguza haya makodi hasahasa kwenye sekta ya kilimo, Ila imekuwa vice versa
Mwendakuzimu aituua, Suluhu anatuzika!Ww ndio ulimuombea mabaya Magu....
kaa kwa kutulia hatujakusahau