Mwendazake aliwezaje kudhibiti mfumuko wa bei?Kweli tutaisoma namba, sasa hivi kila kitu beini mara mbili ukiuliza unaambiwa kodi mpya. Tutakoma.
Wale wakulima wenzangu kazi tunayo
Hata ya samadi itapanda tu hakuna namnaKwa mtindo huo watu wataacha kununua hizo mbolea maana ni hasara,hapo ni mazao kupungua kwa Kasi.
Duh ficha ujinga wako basi atakama ww mambo yapo safiWANANCHI WA MAREKANI NA NCHI ZA ULAYA ZINAWASIKIA WATANZANIA kuwa hawataki kulipa KODI ETI WANATAKA WASAIDIWE!!!!
AISEE!
NGOJA WANACHI WENZETU WATUSIKIE! SIJUI WATATUONAJE, KWELI TUMEKOMAA AU TULIDEKEZWA MPAKA UKUBWANI?!
Wanapandisha Kodi kwenye vitu vinavo stimulate uchumi, mwishowe ni kudorora tu Sasa.Hata ya samadi itapanda tu hakuna namna
"Mama anaupiga mwingi kweri-kweri" 🤣Haya yote yanayoendelea nadhani tunayaona na hii itoshe kusema CCM hawana nia tena na kuongoza nchi.
Mmeongeza Kodi sawa, ndio iwe mara mbili? Ongezeko la 100% tena kwa kipindi hiki? HAPANA
Mama hii ni Kodi ya dhulma, haikubaliki. Watanzania wengi wamejiajiri kwenye kilimo lakini napo umeamua kuongeza kodi mara mbili kwenye mbolea.
Kweli tutaisoma namba, sasa hivi kila kitu beini mara mbili ukiuliza unaambiwa kodi mpya. Tutakoma.
Wale wakulima wenzangu kazi tunayo
Nilitegemea mama katika jitihada zako za kukuza uchumi basi ungepunguza haya makodi hasahasa kwenye sekta ya kilimo, Ila imekuwa vice versa
View attachment 1854790
Huyu mbunge pichani si wa chama chetu kweli! Kolimba si alisema tumepoteza dira!Haya yote yanayoendelea nadhani tunayaona na hii itoshe kusema CCM hawana nia tena na kuongoza nchi.
Mmeongeza Kodi sawa, ndio iwe mara mbili? Ongezeko la 100% tena kwa kipindi hiki? HAPANA
Mama hii ni Kodi ya dhulma, haikubaliki. Watanzania wengi wamejiajiri kwenye kilimo lakini napo umeamua kuongeza kodi mara mbili kwenye mbolea.
Kweli tutaisoma namba, sasa hivi kila kitu beini mara mbili ukiuliza unaambiwa kodi mpya. Tutakoma.
Wale wakulima wenzangu kazi tunayo
Nilitegemea mama katika jitihada zako za kukuza uchumi basi ungepunguza haya makodi hasahasa kwenye sekta ya kilimo, Ila imekuwa vice versa
View attachment 1854790
Huu ni umbea Sasa..... Mara ya mwisho kumsaidia mama ako kule Kijijini ni lini??Watz tunapenda cheap cheap sana tupige kazi tuache kulalamika
CCM ni hatari snWanapandisha Kodi kwenye vitu vinavo stimulate uchumi, mwishowe ni kudorora tu Sasa.
Hatari Moja sasaCCM ni hatari sn
Kumbe nianze kuuza mbolea yangu ya mavi ya popo.nipige hela namie[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Haya yote yanayoendelea nadhani tunayaona na hii itoshe kusema CCM hawana nia tena na kuongoza nchi.
Mmeongeza Kodi sawa, ndio iwe mara mbili? Ongezeko la 100% tena kwa kipindi hiki? HAPANA
Mama hii ni Kodi ya dhulma, haikubaliki. Watanzania wengi wamejiajiri kwenye kilimo lakini napo umeamua kuongeza kodi mara mbili kwenye mbolea.
Kweli tutaisoma namba, sasa hivi kila kitu beini mara mbili ukiuliza unaambiwa kodi mpya. Tutakoma.
Wale wakulima wenzangu kazi tunayo
Nilitegemea mama katika jitihada zako za kukuza uchumi basi ungepunguza haya makodi hasahasa kwenye sekta ya kilimo, Ila imekuwa vice versa
View attachment 1854790