BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Rais Mteule Paul Kagame anatarajiwa kuapishwa Agosti 11, 2024.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya sekeseke la Gen Z naona alitulia sana hadai akafanya ziara vijijini.Sasa Bada ya kudanganywa na nyomi la Moro na emSumbawanga Mh Rais anaona Sasa MDA Bora kuanza safariNdugu zangu Watanzania.
Habari ndio hiiView attachment 3066366
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa
Kagane ni raisi mpya?
Safari njema!Ndugu zangu Watanzania.
Habari ndio hiiView attachment 3066366
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Kagame atabubujikwa machozi furaha kumuona Saa 100.......Ndugu zangu Watanzania.
Habari ndio hiiView attachment 3066366
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Acha ujinga wako hapa. Rais Samia hata asipofanya kampeni hapo Mwakani atapita kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.kwa sababu anakubalika na kupendwa na watanzania ni haijapata kutokeaBaada ya sekeseke la Gen Z naona alitulia sana hadai akafanya ziara vijijini.Sasa Bada ya kudanganywa na nyomi la Moro na emSumbawanga Mh Rais anaona Sasa MDA Bora kuanza safari
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais.inaonekana umekosa kabisa Malezi bora ya wazazi wako.Kagame atabubujikwa machozi furaha kumuona Saa 100.......
Jinga kabisa badala ugisie mawakili yukatetee 3.2T kesi huko tulinde maliasili zetu wewe unakomaa uchawa na upunga wakooo shwain
Embu kaa kwa kutuliaSasa hapo ametufikia sisi au wanyarwanda? Mbona unachanganya madesa sana
Utazaaa na Abdul ili ibubujikwe machozi furahaaaUwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais.inaonekana umekosa kabisa Malezi bora ya wazazi wako.
Tumtakie safari njemaView attachment 3066365
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Jamhuri ya Rwanda kesho asubuhi kushiriki sherehe za uapisho wa Rais Mteule, Paul Kagame ambaye alichaguliwa kuwa Rais wa nchi hiyo mwezi Julai 2024.
Rais Mteule Paul Kagame anatarajiwa kuapishwa Agosti 11, 2024.
Mungu amtangulie kwenye safari yakeView attachment 3066365
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Jamhuri ya Rwanda kesho asubuhi kushiriki sherehe za uapisho wa Rais Mteule, Paul Kagame ambaye alichaguliwa kuwa Rais wa nchi hiyo mwezi Julai 2024.
Rais Mteule Paul Kagame anatarajiwa kuapishwa Agosti 11, 2024.
Dikteta kwa dikateta, mwizi wa kura kwa mwizi mwenzakeView attachment 3066365
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Jamhuri ya Rwanda kesho asubuhi kushiriki sherehe za uapisho wa Rais Mteule, Paul Kagame ambaye alichaguliwa kuwa Rais wa nchi hiyo mwezi Julai 2024.
Rais Mteule Paul Kagame anatarajiwa kuapishwa Agosti 11, 2024.