Rais Samia kwenda Rwanda Agosti 11, 2024 kuhudhuria uapisho wa Rais Kagame

Vizuri kukuza dipoli, japo uapisho huo hauna mvuto ni heri angeachana nao tu.
 
Kulikuwa hakuna haja ya kufanyika uchaguzi kupoteza fedha tu Kagame ni rais wa kudumu wa Rwanda kama vile rais wa China
 
Kagame atabubujikwa machozi furaha kumuona Saa 100.......
Jinga kabisa badala ugisie mawakili yukatetee 3.2T kesi huko tulinde maliasili zetu wewe unakomaa uchawa na upunga wakooo shwain
Bwege we

Kesi ya 3.2T ni mchongo wa jamaa wanataka extension ya mkataba usio wao

Wameona tumeshtuka

Hakuna kesi pale… ila because of global glorified corruption wanaweza kupewa favor ya recommendation ya extension
 
Lazima tuimarishe uhusiano na majirani. Kuna Watu watanunna 😂️😂️😂️😂️😂️😂️
 
Kwenye msiba wa raisi wetu hakuja, lkni cheki tulivyokuwa na shobo kukimbilia uapisho wake..
 
Nadhani anakwenda ili kulinda Biashara zetu na wao hasa upande wa kupokea mafuta Tanga na Dar es Salam...ingawaje mapato mengi wahuni wanaiba tu ila wacha aende..
 
Na hatimaye kawafikia Wanyarwanda pia, Hakika Mama anaupiga mwingi.
 
Bwege we

Kesi ya 3.2T ni mchongo wa jamaa wanataka extension ya mkataba usio wao

Wameona tumeshtuka

Hakuna kesi pale… ila because of global glorified corruption wanaweza kupewa favor ya recommendation ya extension
Bwege wewe ....
Najua kila kitu yafaa kama Taifa tujipange....tushinde ile kesi....sio kuendekeza uchawa kijinga
 
Bwege wewe ....
Najua kila kitu yafaa kama Taifa tujipange....tushinde ile kesi....sio kuendekeza uchawa kijinga
Hujui kila kitu bwege… Michezo tu ile na brokers wanajulikana

Mule kuna mikataba ndani ya mikataba.. Deadline imeisha

Jipangeni tena
 
Kwenye msiba wa raisi wetu hakuja, lkni cheki tulivyokuwa na shobo kukimbilia uapisho wake..
Wewe unaona chini ya pua Yako tu. Rwanda anafanya biashara na Tanzania kwa zaidi ya 90% huyu ni mshirika muhimu sana kwa uchumi wa Tanzania.
 
Wewe unaona chini ya pua Yako tu. Rwanda anafanya biashara na Tanzania kwa zaidi ya 90% huyu ni mshirika muhimu sana kwa uchumi wa Tanzania.
every landlocked country in central and east africa ana biashara na Tanzania kwasababu ya bandari.. siyo kitu ambacho kilianza jana au juzi. The fact remains jamaa hakujitokea kwenye msiba wa jirani yake,alafu ww unakimbilia kujionyesha kwenye sherehe yake. Show some dignity..
 
Hakutuma mwakilishi? Ulitaka atangaze kwenye vyombo vya habari sababu za kutokuja? Halafu bandari haipo Tanzania tu wanaweza kwenda nchi yeyote ukanda wa afrika mashariki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…